CAG: Hela za Plea Bargaining(Kesi za uhujumu) za mabilioni ziliingia mifukoni mwa watu-hazikuingia Serikalini!

CAG: Hela za Plea Bargaining(Kesi za uhujumu) za mabilioni ziliingia mifukoni mwa watu-hazikuingia Serikalini!

Hatua gani zimechukuliwa mpaka sasa kuhusu hizo akaunti binafsi zilizokwapua?

Leo unawakamata watu kwa kutolipa pesa ambazo unajua zingeenda kwenye akaunti binafsi!

Does it make sense?
 
Madeleka kakamatwa tena
Madeleka kutoka Polisi alifungua kampuni yake ya UWAKILI. Halafu kumbuka Mrs Madeleka alikuwa ni Mtumishi wa IMMIGRARION Mkoa wa Arusha akiwa kitengo kinachohusiana na wahamiaji haramu.

Kesi zote ambazo Peter Madeleka alikuwa anashinda zilikuwa zinaharibiwa na mkewe ofsini. Na wahamiaji haramu wengi alikuwa anawasukuma kwa mumewe kwa ajili ya kutetewa mahakamani.

Hivyo Madeleka na mkewe walihujumu sana jeshi la Immigration Arusha hadi baadaye uongozi wa Makao Makuu ukagundua.

Kilichofuata ni mke wa Madeleka kuhamishwa kitua na hatimaye kuacha kazi Immigration.

Na hiyo ndiyo sababu kubwa ya bifu la Madeleka dhidi ya Makakkala, CG wa Immigration

Madeleka hajawahi kuwa msafi, ndiyo maana alikubali kusaini plea bargain
 
Kwa



Kwa hiyo zipo bank gani?Kama wahuni wanatuhakikishia kwamba pesa hizo zilichukuliwa.Watuambie zipo bank ipi.Sio kutuletea maneno ya uongo yasuo na ushahid.
Samia si alisema zilipelekwa China ,amechukua hatua gani kuzirudisha? Mmeona mmebanwa kwenye uuzaji wenu wa Bandari mmeona eti muanzishe shutuma juu ya Magufuli!! Hili la bandari hamchomoki na hukumu yenu mtaipata hapa hapa duniani na sio ahera!!
 
Inasemekana ni Kibano Cha maswali alichopewa Kingai kwenye Kesi ambayo Madeleka ni Wakili wa utetezi ndio imeleta hii mambo
Kingai ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787]

Ninaongelea "sheria" inayowataka wadaiwa wa "Plea bargaining" wamalize madeni yao......wayamalize kwa kweli....
 
Madeleka kutoka Polisi alifungua kampuni yake ya UWAKILI. Halafu kumbuka Mrs Madeleka alikuwa ni Mrumishi wa IMMIGRARION Mkoa wa Arusha akiwa kitengo kinachohusiana na wahamiaji haramu.

Kesi zote ambazo Peter Madeleka alikuwa anashinda zilikuwa zinaharibiwa na mkewe ofsini. Na wahamiaji haramu wengi alikuwa anawasukuma kwa mumewe kwa ajili ya kutetewa mahakamani.

Hivyo Madeleka na mkewe walihujumu sana jeshi la Immigration Arusha hadi baadaye uongozi wa Makao Makuu ukagundua.

Kilichofuata ni mke wa Madeleka kuhamishwa kitua na hatimaye kuacha kazi Immigration.

Na hiyo ndiyo sababu kubwa ya bifu la Madeleka dhidi ya Makakkala, CG wa Immigration

Madeleka hajawahi kuwa msafi, ndiyo maana alikubali kusaini plea bargain
Hii inahusiana nini na kukamatwa tena ?
 
Madeleka kutoka Polisi alifungua kampuni yake ya UWAKILI. Halafu kumbuka Mrs Madeleka alikuwa ni Mrumishi wa IMMIGRARION Mkoa wa Arusha akiwa kitengo kinachohusiana na wahamiaji haramu.

Kesi zote ambazo Peter Madeleka alikuwa anashinda zilikuwa zinaharibiwa na mkewe ofsini. Na wahamiaji haramu wengi alikuwa anawasukuma kwa mumewe kwa ajili ya kutetewa mahakamani.

Hivyo Madeleka na mkewe walihujumu sana jeshi la Immigration Arusha hadi baadaye uongozi wa Makao Makuu ukagundua.

Kilichofuata ni mke wa Madeleka kuhamishwa kitua na hatimaye kuacha kazi Immigration.

Na hiyo ndiyo sababu kubwa ya bifu la Madeleka dhidi ya Makakkala, CG wa Immigration

Madeleka hajawahi kuwa msafi, ndiyo maana alikubali kusaini plea bargain
"Conflict of interests".....
 
Hii inahusiana nini na kukamatwa tena ?
Ukiwa unaishi nyumba ya vioo usiwe wa kwanza kutupa mawe kwa watu wa nje. Madeleka ni mchafu sana kwenye kazi yake ya zamani na kwenye uwakili wake
Screenshot_20230717_153722_Parallel Space.jpg
 
Back
Top Bottom