CAG kama umeshindwa kukagua manunuzi ya Bombadier, sema usaidiwe

CAG kama umeshindwa kukagua manunuzi ya Bombadier, sema usaidiwe

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
CAG kafanya jambo la kishujaa tusema ukweli kama ATCL inaendeshwa kwa hasara ya bilioni 60 kwa mwaka.

Umefanya kijasiri kwa sababu tumekuwa tunafichwa sana na kudanganywa tunapata faida na gawio.

Hapo CAG umetuonjesha tu.

Umewezaje kutuambia kuhusu uendeshaji wa ndege kabla hujatuambia ndege zilivyopatikana. Twende ngazi kwa ngazi-usiruke stage mkaguzi.

Kama umeshindwa seme tukusaidie.

Hujawahi kutuambia:
1. Nani alipitisha bajeti ya ndege zile
2. Business plan ipo?
2. Walipitisha bei gani
3. Zikatumika bei gani
4. Mchakato wa kununua nani alifanya
5. Lini serikali ilitangaza tenda
6. Kampuni gani ziliomba
7. Utaratibu gani ulitumika kulipa,nani kasaini ankara
8. Ndege ni mpya au zilipigwa rangi tu
9. Sheria ya manunuzi na fedha za Serikali ulizingatiwa?

Kama CAG ameshindwa aseme asaidiwe.
 
Ndege ndege ndege hatari sana! Uchunguzi ukifanyika yataibuka mengi, tusubiri.
 
CAG kafanya jambo la kishujaa tusema ukweli kama ATCL inaendeshwa kwa hasara ya bilioni 60 kwa mwaka.

Umefanya kijasiri kwa sababu tumekuwa tunafichwa sana na kudanganywa tunapata faida na gawio.

Hapo CAG umetuonjesha tu.

Umewezaje kutuambia kuhusu uendeshaji wa ndege kabla hujatuambia ndege zilivyopatikana. Twende ngazi kwa ngazi-usiruke stage mkaguzi.

Kama umeshindwa seme tukusaidie.

Hujawahi kutuambia:
1. Nani alipitisha bajeti ya ndege zile
2. Business plan ipo?
2. Walipitisha bei gani
3. Zikatumika bei gani
4. Mchakato wa kununua nani alifanya
5. Lini serikali ilitangaza tenda
6. Kampuni gani ziliomba
7. Utaratibu gani ulitumika kulipa,nani kasaini ankara
8. Ndege ni mpya au zilipigwa rangi tu
9. Sheria ya manunuzi na fedha za serikali ulizingatiwa?

Kama CAG ameshindwa aseme asaidiwe.
Hahahahahahahahahahahaha..........

Tabia yako sawa kabisa na wakwenye picha yako hapo juu.
 
CAG kafanya jambo la kishujaa tusema ukweli kama ATCL inaendeshwa kwa hasara ya bilioni 60 kwa mwaka.

Umefanya kijasiri kwa sababu tumekuwa tunafichwa sana na kudanganywa tunapata faida na gawio.

Hapo CAG umetuonjesha tu.

Umewezaje kutuambia kuhusu uendeshaji wa ndege kabla hujatuambia ndege zilivyopatikana. Twende ngazi kwa ngazi-usiruke stage mkaguzi.

Kama umeshindwa seme tukusaidie.

Hujawahi kutuambia:
1. Nani alipitisha bajeti ya ndege zile
2. Business plan ipo?
2. Walipitisha bei gani
3. Zikatumika bei gani
4. Mchakato wa kununua nani alifanya
5. Lini serikali ilitangaza tenda
6. Kampuni gani ziliomba
7. Utaratibu gani ulitumika kulipa,nani kasaini ankara
8. Ndege ni mpya au zilipigwa rangi tu
9. Sheria ya manunuzi na fedha za serikali ulizingatiwa?

Kama CAG ameshindwa aseme asaidiwe.
Kwa ambaye ajaelewa naomba niwe MKALIMANI
 
Maccm ni majizi na yanalindana,nina uhakika mama akitaka kuwaziba midomo magenge ya kisukuma anaweza kwa kuonesha uozo na wizi wa yule mzalendo feki

Akiendekea na mradi wa kununua mindege nitampuuza
 
Nadhani financial accounting ya ATCL inakosewa. ATCL inatakiwa kutumia accounts ya not for profit organization. Hizi ndege hazikununuliwa zilete faida. Zilinunuliwa kuboresha huduma ya usafiri wa anga, kutoa ajira na kuwa tunu ya taifa (national pride). Nashangaa kuona wanaproduce Profit and Loss statements. Hapa walitakiwa waproduce Surplus/ deficit (income and expenditure) statements.
Inabidi kuhariri status ya shirika la ATCL. Ligeuzwe kutoka kuwa kampuni na lisajiliwe kama NGO ili kuondoa utata wa mifumo ya kiuhasibu.
Mifumo ya kiuhasibu iliyopo sasa haitoi fair view ya financial position ya shirika.
 
Report ya CAG hua ni ya mwaka mmoja; akitakiwa kuchunguza hayo ya miaka sijui 5-6 nadhani anaweza kufanya.
 
Nadhani financial accounting ya ATCL inakosewa. ATCL inatakiwa kutumia accounts ya not for profit organization. Hizi ndege hazikununuliwa zilete faida. Zilinunuliwa kuboresha huduma ya usafiri wa anga, kutoa ajira na kuwa tunu ya taifa (national pride). Nashangaa kuona wanaproduce Profit and Loss statements. Hapa walitakiwa waproduce Surplus/ deficit (income and expenditure) statements.
Inabidi kuhariri status ya shirika la ATCL. Ligeuzwe kutoka kuwa kampuni na lisajiliwe kama NGO ili kuondoa utata wa mifumo ya kiuhasibu.
Mifumo ya kiuhasibu iliyopo sasa haitoi fair view ya financial position ya shirika.

Au ATCL ikabidhiwe Jwtz.
 
Nadhani financial accounting ya ATCL inakosewa. ATCL inatakiwa kutumia accounts ya not for profit organization. Hizi ndege hazikununuliwa zilete faida. Zilinunuliwa kuboresha huduma ya usafiri wa anga, kutoa ajira na kuwa tunu ya taifa (national pride). Nashangaa kuona wanaproduce Profit and Loss statements. Hapa walitakiwa waproduce Surplus/ deficit (income and expenditure) statements.
Inabidi kuhariri status ya shirika la ATCL. Ligeuzwe kutoka kuwa kampuni na lisajiliwe kama NGO ili kuondoa utata wa mifumo ya kiuhasibu.
Mifumo ya kiuhasibu iliyopo sasa haitoi fair view ya financial position ya shirika.
It makes no real difference, when its an NGO it will produce a deficit and when it is a company it will produce a loss. A loss and a deficit mean the same thing, that is income is not meeting the expenditure (matumizi makubwa kuliko mapato)
 
It makes no real difference, when its an NGO it will produce a deficit and when it is a company it will produce a loss. A loss and a deficit mean the same thing, that is income is not meeting the expenditure (matumizi makubwa kuliko mapato)
It does! Kwenye PnL lazima utatoa depreciation ili kupata net profit. Sasa kwa madege kama Drealiner ambayo bei yake ni bilioni 500, uki idepreciate by 20% per annum hiyo tayari ni 'hasara' ya bilioni 100! Na ziko mbili, ukidepreciate Airbus na Bombadier. Kwenye depreciation pekee unaweza kupata 'hasara' ya Bilioni mia tatu kwa mwaka ilhali una positive Net operating income.
So ukiiweka in terms of income and expenditure, sidhani kama uta factor in depreciation kwa sababu hapa utaangalia zaidi cash flows.
 
It does! Kwenye PnL lazima utatoa depreciation ili kupata net profit. Sasa kwa madege kama Drealiner ambayo bei yake ni bilioni 500, uki idepreciate by 20% per annum hiyo tayari ni 'hasara' ya bilioni 100! Na ziko mbili, ukidepreciate Airbus na Bombadier. Kwenye depreciation pekee unaweza kupata 'hasara' ya Bilioni mia tatu kwa mwaka ilhali una positive Net operating income.
So ukiiweka in terms of income and expenditure, sidhani kama uta factor in depreciation kwa sababu hapa utaangalia zaidi cash flows.
Mkuu naona unatumia book keeping kwenye kujenga hoja yako badala ya accounting.


Sent from my SM-J730GM using JamiiForums mobile app
 
Manina #Tutaelewana tu
CAG kafanya jambo la kishujaa tusema ukweli kama ATCL inaendeshwa kwa hasara ya bilioni 60 kwa mwaka.

Umefanya kijasiri kwa sababu tumekuwa tunafichwa sana na kudanganywa tunapata faida na gawio.

Hapo CAG umetuonjesha tu.

Umewezaje kutuambia kuhusu uendeshaji wa ndege kabla hujatuambia ndege zilivyopatikana. Twende ngazi kwa ngazi-usiruke stage mkaguzi.

Kama umeshindwa seme tukusaidie.

Hujawahi kutuambia:
1. Nani alipitisha bajeti ya ndege zile
2. Business plan ipo?
2. Walipitisha bei gani
3. Zikatumika bei gani
4. Mchakato wa kununua nani alifanya
5. Lini serikali ilitangaza tenda
6. Kampuni gani ziliomba
7. Utaratibu gani ulitumika kulipa,nani kasaini ankara
8. Ndege ni mpya au zilipigwa rangi tu
9. Sheria ya manunuzi na fedha za Serikali ulizingatiwa?

Kama CAG ameshindwa aseme asaidiwe.
 
Back
Top Bottom