CAG Mstaafu Ludovick Utoh: Kuna ukakasi kusema Rais ametoa hela inapaswa kuwa Serikali imetoa hela kutekeleza miradi

Ninakubaliana nawe juu ya Kabuti Kalamaganda na wengi wengine, hata huyo mama unayempamba hapa hana tofauti na hao.

Kinachokutoa ufahamu juu ya mama ni kwamba yeye badala ya mabavu mengi aliyotumia Magufuli, yeye anatumia dawa tofauti ya kulaza akili za watu huku matokeo yakiwa ni yale yale.

Mama anafaidika na aliyofaidika nayo Magufuli. Kama kuna wajinga wanaoendelea kumjaza upepo mama kwa kupamba "Pochi la mama" ili awaone na kuwazawadia kwa juhudi hizo, tofauti yake na Magufuli ipo wapi?
 
La muhimu hizo fedha zikatumike kuleta maendeleo.

Hata wakisema wametoa Chadema sioni tatizo kama zitaenda kutumika ipasavyo na kwa mujibu wa sheria!
Ni vzr ukaelewa hoja yake bwashee 🤣🤣🤣 suala la CDM achana nalo, je hoja yake ina mashiko??
 
Reactions: BAK
Rais hatoi hela, fedha 💸 ni za umma ambao ndio sisi, huyo rais pamoja na wabunge wanachaguliwa na wananchi na fedha ni kodi zetu zinaidhinishwa na bunge ili zituhudumie.

Sasa kwa muktadha huo mtu atasemaje kwamba rais katoa pesa, ni kama ujinga fulani hivi unaofanywa na waganga njaa kwa maslahi yao binafsi.
 
La muhimu hizo fedha zikatumike kuleta maendeleo.

Hata wakisema wametoa Chadema sioni tatizo kama zitaenda kutumika ipasavyo na kwa mujibu wa sheria!
Wewe ni mpumbavu ulierithishwa upumbavu kutoka kama mamako, mamako kakuharibu na ndio maana unakosa baraka kutoka kwa babako. Babako alikuwa akitoa ada, hela ya kukuvisha chumbani akiwa na mamako, mamako kwa upumbavu wake anasema hela katoa yeye na kuongeza kuwa babako hana msaada wowote. Ukakariri kuwa kweli matunzo anatoa mamako. Mentality hiyo umekua nayo kuanzia utotoni
 
Huyo mjinga alikuwa wapi kusema hivi wakati marehemu yule muuaji anaasisi huu upumbavu?

Atulie dawa imuingie kama ilivyomuingia kipindi cha kayafa
 
Kipindi cha magufuli ulipanua mdomo? Au kaingia usiyempenda? 😁

Katiba mpya na tume huru ni muhimu sana
 
Thubutu...
 
Sisiemu wamefundisha RAIA propaganda zahovyo sana na siasa chafu kabisa.
Katika mazingira ya binadamu wote nisawa huwezi uliza watu;
Nani kama Sa100??
Waitike...hakunaaaaa!!!
Navyojua huwa hakuna kama Mungu lakini MTU kama Sa100 nikama kinamamazetu wengine tena wako wanaomzidi ubora!!!
Raising asifanywe Mungu kisa anagawa kazi!!
Katiba mpya ni muhimu tusisikilize waliovimbiwa wao wanaona sawa tuu!
 
Utoh kama Utoh StarTV na Chief Odemba.

Wapiga pambio wanavyosema rais ametoa bilion sijui 300 it means ametoa kwenye mshahara wake?
 
Mimi nimemuelewa nasuburi UE tu
 
Utoh ni nani hadi tuanze kumsikiliza yeye? akalee wajukuu zake huko Kishumundu,kastaafu arudi Kishumundu,kukaa na kuishi mjini wakati umestaafu taabu yake unakuwa mtembezi wa vituo vya radio na runinga,kisa aonekana nae ni ''authority''
 
ajabu wanaosema hayo ni wasomi,wengine tulikuwa tunawaamini ni watu wa misimamo. Mtu kama Bashe sikutegemea aropoke kiwango kile
 

Nyuzi kama hizi ni mbaya sana kwa kina johnthebaptist na binamu zao.

Ukiwaona humu ni kujikakamua tu ila maumivu makali moyoni.
 
Utoh ni nani hadi tuanze kumsikiliza yeye? akalee wajukuu zake huko Kishumundu,kastaafu arudi Kishumundu,kukaa na kuishi mjini wakati umestaafu taabu yake unakuwa mtembezi wa vituo vya radio na runinga,kisa aonekana nae ni ''authority''

Ya Lutoh haiwezi kuwa habari njema kwenu.

Hii si ndiyo gia ya kuitafutia 2025?

Hapa si ndiyo na ule ukweli kuwa rais na ile timu ya vigogo wala kodi haziwahusu?

Iwe vipi habari njema basi?
 
Reactions: BAK
La muhimu hizo fedha zikatumike kuleta maendeleo.

Hata wakisema wametoa Chadema sioni tatizo kama zitaenda kutumika ipasavyo na kwa mujibu wa sheria!
Hapana.

Inajenga KIBURI na anaona yuko juu mno.

Kama iraendelea hivyo, Bunge lisiwe linajadili Bajeti ya Serikali wamwachie Rais afanye inavyompendeza yeye.
 
Ummy Mwalimu ndio anapenda sana hii kauli utasikia Rais katoa fredha ya mradi huu. Kila kitu Rais naona wanajitahidi sana kuingiza ile kauli Samia Hoyeee. Jaaama ailiyelala alikuwa anasema kabisa siwaletei maji na barabara.
 
Ati "...bunge lisiwe linajadili bajeti ...nk!" Mbona kuna ile miradi "kabambe" ilianzishwa na mwendazake ambayo ndo inatupa hizi shida za mifumuko ya bei, ilipitishwa na nani!? Serikali za kiafrika, yote yawezekana.
Hapo zamani kulikuwa na kitu "Semina Elekezi" kwa ajili ya wateule wa rais, kwao ilikuwa "...serikali ya CCM" bila kujali katiba inasemaje. Siku hizi wala hakuna hizo semina lakini maneno "serikali ya jpm, ya mama...nk" ndo wimbo mpya. Ni kujikomba kulikopitiliza. Kinachotia kinyaa zaidi ni hata wale walokuwa upinzani zamani wakaunga juhudi, wanaitikia hiyo "chorus"-Uzwazwa mtupu
 
Tumeingia kwenye siasa za kipuuzi na propaganda za hovyo sana ndomana Tz prezda anaweza kujiona kamavile nchi niyake, akajiamulia atakavyo.
Niaibu kuwa na katiba dhaifu kama hii...alafu kwakuwa inawapa loophole wahali yajuu kujiamulia hawataki kuibadilisha kabisaaa wakisingizia kutafuta maendeleo kwanza!!!
Navyojua Mimi hakuna kama Mungu!! Leo masisiemu yanaimbisha wananchi kilaleo na kupandikiza vichwani mwawatu eti hakuna kama sa100 etc. huku wakijidai wanafilosofia kuwa binadamu wote nisawa!!!
Tuache siasa chafu...
Prez anasema kunakahela NIMEKAPATA mahali!!!
Wakopeshwe watanzania na IMF kama nchi nyingine useme niwewe umekapata?kweli!!! Kamavile nihela yako binafsi? Utalipa wewe?
This country is sick man we better find a vassine!!
 
Nauliza tu...
Ludovik Utoh ni kabila gani..?
Mzee Rugamalira ni kabila gani..??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…