CAG mstaafu Uttoh: Hakuna Shirika lolote la ndege duniani lililopata faida baada tu ya kuanzishwa, ATCL haijawahi kulipa Gawio Serikalini

Alijigeuza mwanasiasa badala ya professional...

Mwenye fani yake kaongea hapo bila politics
Hahaaaa! Assad kaingiza siasa lini? Kipindi yupo kazini au baada ya kutolewa? Huyo Uttoh hafikii level za Assad kwa weledi, huyo Uttoh ni mfia chama tu, leo anatuambia shirika la ndege haliwezi pata faida kwa muda mfupi ila wakati mwendazake na mkurugenzi wa kampuni wanasema wamepata faida huyo Uttoh alikaa kimya hakujua kama shirika lina muda mfupi, Kilichompoza Assad ni kusimamia anachokiamini tu, Bunge dhaifu limeshindwa isimamia serikali
 
Akili kubwa hizi,Jiwe Ngosha alitaka hata polisi walipe gawio,lakini sikubalisni kulinganisha taasisi za Elimu na mashirika kama ATCL,posta,au TTCL,haya mashirika inabidi yafsnye biashara na yatoe gawio,mbona MTN ya Afrika kusini inatoa gawio?au haya ya kwetu ni kuuza sura tu,
 
Nadhani hajamwelewa mhusika, nadhani sina uhakika maana unacho andika wewe ni tofauti na maelezo aliyotupa...
 
Nadhani hujamwelewa mhusika, nadhani sina uhakika maana unacho andika wewe ni tofauti na maelezo aliyotupa
 
Hebu niambie Serikali za nchi za Ulaya zinazofanya biashara yoyote ile. Serikali wajibu wake ni kukusanya kodi na kutoa huduma. Nchi za Afrika Serikali zinajiingiza kwenye biashara na matokeo yake ni kuingia mkenge wa hasara kubwa kwa walipa kodi.
Qatar airway
Emirate
Egypt air
Ethiopian airlines
Etihad
35% ya makampuni ya kibiashara China yanamilikiwa na serikali
 
Reactions: Ame
Otoh usiwatetee, kufufua biashara bila ya upembuzi yakinifu matokeo yake ndiyo haya....watulipe tu Bil 59 zetu yaishe.
 
Linapata faida ila inamezwa na running costs kutokana na upya (BEP)... na faida inapunguza hasara from 113B to 60B.

Anaposema watumishi hawafai thats BS... nikupe mifano zaidi?
 
Huyu ndio CAG. Enzi zake alikuwa smart sana na ndiye aliyenifanya nianze kufuatilia ripoti za CAG. Halafu haropokiropoki kama yule CAG aliyetaka kujifanya Mhimili!
Chuki zitakuua mzee, bunge dhaifu linashindwa kuisimamia serikali
 
Tanzania hakuna Watanzania wenye uwezo wa kupanda ndege kutokana na wengi vipato vyao kuwa vidogo sana. Hivyo kutegemea 5% ya population ya 60 millions wenye uwezo wa kupanda ndege ili ATCL iingize faida ni kujidanganya.
Kwa hiyo Tanzania haihitaji kuwa na ndege? Iwapo Tanzania ina watu takriban milioni 60, na ndege moja inachukua abiria wasiozidi 200, unaona kuwa hiyo ni 0.0003% tu ya watanzania wanaoweza kutumia ndege hizo ambayo ni chini sana ya hiyo 5%.
 
Subiria povu kutoka praise team
 
Reactions: BAK
Mashirika yote hayo hayaendeshwi na Serikali Serikali imeweka tu mazingira mazuri ya uwekezaji na kuwaachia management wafanye decisions bila ya kuingiliwa na Serikali kwa namna yoyote ile. China Serikali imekuwa ikifanya biashara tangu enzi za ukomunisti. Kule Hong Kong private sector ilikuwa imeshamiri sana. China imeingilia hivi karibuni uchumi umeanguka.
Pia kama Nchi za Magharibi zitatoa incentives nzuri kama walivyofanya Japan ili Makampuni ya nchi hizo yaliyowekeza China basi uchumi wa China utaporomoka vibaya sana kwani makampuni hayo yameajiri mamilioni ya Wachina.
Qatar airway

Emirate
Egypt air
Ethiopian airlines
Etihad
35% ya makampuni ya kibiashara China yanamilikiwa na serikali
 
Yes tena nalifundisha kabisa hilo somo, mbali zaidi ni expwrt wa project management na pia ni mchumi kwahiyo napoeleza situmii hisia natumia utaalamu na practical experiences
Duh! hao wanafunzi wako nawaonea huruma.

Na wao huwa unawaambi dividend maana yake sio gawio?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Linapata faida ila inamezwa na running costs kutokana na upya (BEP)... na faida inapunguza hasara from 113B to 60B.

Anaposema watumishi hawafai thats BS... nikupe mifano zaidi?
Ndugu maana ya faida ni (Mapato - Matumizi) hapo kwenye matumizi no pamoja na running costs kwahiyo huwezi kusema unapata faida lakini inamezwa na running costs that's called loss mzee
 
Kama hakuna faida chadema waliwekaje kwenye ilani
 
Tatizo mnakipenda chama kupita kiasi, hamsikii wala hamuoni hta km ukweli upo wazi kbsa bado mtaukataa...tht y mko very emotional chama chenu kinapoguswa

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
BAK yupo sahihi kabisa na ukosoaj8 wako haupo technical. Ambacho unapaswa ufahamu hao 11% ndio wanaweza expand au contract uchumi.

Ndege za trillion 3 plus pesa inaenda Canda huko lakini Trillion 3 ikitumika ndani whether kulipa wazabuni au kuajiri/kupandisha mishahara ina maana pesa itazunguka kwenye uchumi na kuchochea biashara kupitia spillover effects.

Na ndio maana duniani mabillionea na washika mitaji wakubwa hawafiki 5% lakini dunia nzima tunawategemea kwa kila kitu kuanzia ajira mpaka supply ya bidhaa muhimu so uchumi hauangalii namba ya direct wanufaika bali inaangalia wale wanufaika watatawanyaje pesa baada ya kuzipata.

Ndio maana mwaka juzi Prof.Luoga alishusha reserve ratio requirement ya benki za biashara pale BOT ili kwamba benki za ndani ziwe na ukwasi ziweze kuajiri,kukopa,kuwekeza n.k ili pesa zitoke kwenye mashelf ya BOT ziende kwa raia kuchochea biashara mpaka ya boda boda na mama ntilie!! Uchumi unafanya kazi hivyo
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…