CAG mstaafu Uttoh: Hakuna Shirika lolote la ndege duniani lililopata faida baada tu ya kuanzishwa, ATCL haijawahi kulipa Gawio Serikalini

Tanzania hakuna Watanzania wenye uwezo wa kupanda ndege kutokana na wengi vipato vyao kuwa vidogo sana. Hivyo kutegemea 5% ya population ya 60 millions wenye uwezo wa kupanda ndege ili ATCL iingize faida ni kujidanganya.
 
Tulia wewe hujui kitu!!
 
Tanzania hakuna Watanzania wenye uwezo wa kupanda ndege kutokana na wengi vipato vyao kuwa vidogo sana. Hivyo kutegemea 5% ya population ya 60 millions wenye uwezo wa kupanda ndege ili ATCL iingize faida ni kujidanganya.
Mkuu BAK nimeongezea mambo mengine kwenye uzi, hebu fanya kurejea tena.!!!
 
TATIZO LA ATCL NI JINSI FEDHA ZA WANANCHI ZILIVYOTUMIKA BILA WELEDI KATIKA UWEKEZAJI WA JINSI NDEGE ZILIVYONUNULIWA NA SEQUENCING YA UNUNZI WA NDEGE HIZO!!!
Your browser is not able to display this video.
 
Tanzania hakuna Watanzania wenye uwezo wa kupanda ndege kutokana na wengi vipato vyao kuwa vidogo sana. Hivyo kutegemea 5% ya population ya 60 millions wenye uwezo wa kupanda ndege ili ATCL iingize faida ni kujidanganya.
Your browser is not able to display this video.
 
Ni shule za msingi Mia na 20 za kisasa kabisa aproximatily 500M kwa shule moja
 
Kwa hiyo zile bilioni 28 tulizotangaziwa na mmiliki wa nchi akisema ni faida ya ATCL haikusawa kweli?
 
Mi nawaambiaga lakini hawanielewagi hawa watu. Tuna serikali likubwa wafanyakazi wa kuanzia watendaji wa kata hadi wa huko juu wote wanategemea kodi za wafanyabiashara. Halafu bado watu wanataka mishahara ipande kila mwaka, ipande kwa kodi zipi?
 
Nina jamaa yangu mjeda alienda kuzika kule ngoja nimuulize huo mjengo upoje
 
Reactions: SMU
Mkuu kuna shughuli za kiuchumi hapa nchini? Si ndiyo hizo watu wanabambikiwa kodi kubwa na kuporwa mapesa yao benki. Wengi wanaamua ama kufunga biashara zao au kuhamia nchi jirani, Wakulima kudhulumiwa mazao yao au kulaliwa katika bei ya kuuza matokeo yake nchi haisogei. Kuna matatizo makubwa sana nchini na kama alivyosema former CAG Assad 60% ya Viongozi ndani ya Serikali uwezo wao wa kuongoza ni mdogo sana lakini wako humo kwa miaka chungu nzima kila siku ni wale wale!
Tunahitaji mabadiliko makubwa sana Nchini.
Msikilize mama hapa chini.
Mkuu BAK nimeongezea mambo mengine kwenye uzi, hebu fanya kurejea tena.!!!
 
Tulisema Sisi kwamba, Akili aloitumia CAG siyo yakwake Bali ni akili iliyonunuliwa kufanya watakacho wanunuzi wake
 
Una mawazo finyu Sana, heri ungekaa kimya tu unge hesabika una hekima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…