ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Lazima aseme hivyo kujikosha mbele ya maguCAG kasema alikosea report sio 72% ni 31%...
Namba hazidanganyi tuendelee kufuatiliaLazima aseme hivyo kujikosha mbele ya magu
Hahah naona furaha yako imeisha. Umekuja mbio hapa watu wanekutoa upepo. Katafute kingine ulete labda unaweza ukapatia next timeLazima aseme hivyo kujikosha mbele ya magu
Hahah naona furaha yako imeisha. Umekuja mbio hapa watu wanekutoa upepo. Katafute kingine ulete labda unaweza ukapatia next time
Uzembe wenu wa kulimbikiza madeni msituombee na sisi kufika huko, sisi hatukopi kijinga kama ninyi, kumbukeni ninyi ni failed state.Lazima aseme hivyo kujikosha mbele ya magu
Uzembe wenu wa kulimbikiza madeni msituombee na sisi kufika huko, sisi hatukopi kijinga kama ninyi, kumbukeni ninyi ni failed state.
Na wewe umekosea kama CAGHabari wadau,
Repoti ya CAG ya mwaka wa fedha 2015/16 inaonyesha ukuaji wa deni la Taifa umefikia wastani wa Tsh.42 trion sawa na 72% ya pato la Taifa.
Mkaguzi wa hesabu za serikali,CAG ameonya serikali wakati wa kuwasilisha taarifa yake kwa Rais na kusema ikifikia 76% hali ya uchumi itakuwa mbaya.Pamoja na onyo hilo Rais JPM amepuuza na kusema serikali itaendelea kukopa kwani inajenga miundombinu.
My take: Soon zile ngonjera za kuwadisi wakenya zitaanza kusikika huku bongo,wale wapuliza zumari wajitathmini.
Uzalendo wa kijinga sina..
Umetoa wapi hio 72% kama mwenyewe aliesema kaomba radhi amekosea usitake tufanane pambaneni na madeni yenu72%???? Watanzania hapa sio pazuri hata kidogo. Kwa mwendo huu, naona kina Rwanda wakiwapiku kiuchumi.
CAG katumbua jipu wakati bado halijaiva vizuri kukosea ni kutafuta ganziUmetoa wapi hio 72% kama mwenyewe aliesema kaomba radhi amekosea usitake tufanane pambaneni na madeni yenu
Endelea kujifariji eti kakosea,kitu kinasoma 46 trn,sasa piga hesabu hiyo ni how much to GDP ratioNa wewe umekosea kama CAG
Endelea kujifariji eti kakosea,kitu kinasoma 46 trn,sasa piga hesabu hiyo ni how much to GDP ratioNa wewe umekosea kama CAG
The new chorus " mtuombee" utaendelea kuumbua watu na hautamuacha mtu salamaUzembe wenu wa kulimbikiza madeni msituombee na sisi kufika huko, sisi hatukopi kijinga kama ninyi, kumbukeni ninyi ni failed state.
Kuja mbio from where maana mm nimefikisha taarifa iliyoiva kutoka kwa CAG,eti amekanusha or something from away mnajua nyie,u have to swallow it maana ukweli ni kama dawa uchungu au ukali wake ndo kupona kwenyeweHahah naona furaha yako imeisha. Umekuja mbio hapa watu wanekutoa upepo. Katafute kingine ulete labda unaweza ukapatia next time