CAG Report: Tanzania Public dept to GDP ratio reaches 72%

Serikali iangalie haya maoparation yanayorudisha nyuma jitihada za kujikwamua na umaskini ile ya ziwani iliwatia umaskini watu wenu leo mmeanza kwa wafanyabiashara wa ng'ombe na mbuzi!!ni vema utafiti wa kina ufanywe kabla ya kuanza mazoezi kama hayo pia watendaji watekeleze kwa nia njema.
 
Endelea kujifariji eti kakosea,kitu kinasoma 46 trn,sasa piga hesabu hiyo ni how much to GDP ratio
watu ambao hawapendi ukweli ndio hao,this is the same thing that is happening in Nigeria because people don't like the truth
 
Endelea kujifariji eti kakosea,kitu kinasoma 46 trn,sasa piga hesabu hiyo ni how much to GDP ratio
Jifariji wewe leta source basi ya hayo madudu yako au tukuskilize wewe kwa mamlaka gani uliyokua nayo??
 
duh,poleni sanaaa maana mahali mwendapo sio salamaa
 
Hata akili ya kuzaliwa umeshindwa kutumia? Deni la nchi tu likifika 50% unaanza kuwekwa kwenye list ya nchi zisizokopesheka na ungeshaskia tunatangazwa huko kila siku na IMF na World bank kwamba tuna deni sugu, sasa 72% si nchi ingeshauzwa kabisa..
 
Hata akili ya kuzaliwa umeshindwa kutumia? Deni la nchi tu likifika 50% unaanza kuwekwa kwenye list ya nchi zisizokopesheka na ungeshaskia tunatangazwa huko kila siku na IMF na World bank kwamba tuna deni sugu, sasa 72% si nchi ingeshauzwa kabisa..
Hii hai'apply' kwa nchi LDC, Tz hata deni lenu lifike hadi 100% ya GDP hutaona mtu yeyote akishughulika. Mtajiju wenyewe.
 
Hii hai'apply' kwa nchi LDC, Tz hata deni lenu lifike hadi 100% ya GDP hutaona mtu yeyote akishughulika. Mtajiju wenyewe.
0 brain..kwa uchumi kama wanchi yetu tungekua hatupewi mikopo tena na tungeshindwa kufanya mradi Wowote wa maendeleo..
 
Ethiopia and Angola Are LDC. Both have bigger GDP Than kenya, Angola particularly has 40% lower population than kenya.
So whats your point?
What you have said about Angola makes no sesnse. Common sense dictates that If Angola has a bigger Gdp than Kenya but a smaller population than Kenya then it should have a higher gdp per capita than Kenya. I have actually checked and it has gdp per capita of more than $ 3,000, which is easily double, that of Kenya. If you want proof tell me i will provide.
 
Hata akili ya kuzaliwa umeshindwa kutumia? Deni la nchi tu likifika 50% unaanza kuwekwa kwenye list ya nchi zisizokopesheka na ungeshaskia tunatangazwa huko kila siku na IMF na World bank kwamba tuna deni sugu, sasa 72% si nchi ingeshauzwa kabisa..
Deni la taifa ni tofauti na deni la benki au rafiki yako,can be more than hiyo percentage na nchi ikaendekea kudunda hapo si issue ya akili za kuzaliwa bali economics of public dept management
 
Ethiopia and Angola Are LDC. Both have bigger GDP Than kenya, Angola particularly has 40% lower population than kenya.
So whats your point?
Usikute jubilee ilitoa tako Kwa wazungu waiondoe Kenya kwenye LCD kwa pen [emoji55] ili wajipongeze kwa baadhi ya wakenya mazuzu kuwa imejenga kenya kumbe mijizi mbwa kila mradi wanapiga 70% zinakwenda kwa mafisadi ya jubilee
 
CAG kasema alikosea report sio 72% ni 31%...
Kwa hiyo wakamwambia ile figure ya ukweli ya 72% akaigawanye mara 2 afu apunguze 5 ili watu tusishitukie chezo.

Ila serikali ifahamu mficha maradhi kifo umuumbua so hii njaa inayoendelea kutamalaki kitaani inazidi kufika hata kwao siku zinavyoenda mbele so wapambane kuibadili hii hali
 
Zile mbaya Hatutaki kuziskia maana huo Sio Uzalendo, Uzalendo ni kusikia kile tunachotaka kukisikia.... Mmmghhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…