Anakagua kila kituHivi CAG anakagua hesabu za serekali au kila kitu
Sasa mmeo mbona kala hasara kwa akili zako alafu unatako gumu 😄.Mm langu gumu nigeuzie lako lain nijiliwaze
Mwenda zaek mwanasayansi, injinia, shemist, IGP, gavana wa BOT, msanifu wa barabara na majengo, in short mwenda zake alikua anamudu sekta zote, ona sasa matokeo yake
Pia daraja lililojengwa hapo mloganzila ndilo lilitakiwa likajengwe na pale mbezi ili magari ya goba. Kwenda maramba mawili yapite juu , hii mada ilijadiliwa sana hapa Jf kabla hata ya ujenzi, ila kuna watu humu walijiona mainjinia ati tusubiri hadi pakamilike .Wewe jamaa utakua mkazi mwenzangu wa kibamba,barabara ya kuingilia mloganzila kutokea kisarawe,kinyerezi kama itaboreshwa ni njia moja nzuri sana
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]Mm langu gumu nigeuzie lako lain nijiliwaze
...Kwanza KIBAMBA hakuna Stendi ya Magufuli. IPO Mbezi Mwisho.
CAG amesema stendi ya mabasi ya Magufuli iliyopo Kibamba manispaa ya Ubungo haikuwemo katika usanifu wa ujenzi wa barabara ya njia 8 kutoka Ubungo hadi Kibaha.
Kwa maana hiyo stendi ya Magufuli itaongeza msongamano wa magari tofauti na lengo la mradi huo wa barabara la kuondoa kabisa foleni kati ya Ubungo na Kibaha.
Ukinizingua Nitakuzingua!
pale barabarani jioni kuna foleni ila huwa inasababishwa na madaladala na bajaji wakiwekwa trafiki wa kutosha na wasichukue rushwa panakaa sawaKwani stendi imejengwa ndani ya hifadhi ya barabara? Tunafahumu mbezi - kimara kulikuwa na bomoabomoa, sasa inakuwaje wenyewe wanajenga ndani ya hifadhi.
Hahaha....BinaadamuKwahiyo irudishwe Ubungo... nchi ngumu sana hii
same qnHivi CAG anakagua hesabu za serekali au kila kitu
Kitu kama hujui unyamaze mkuuHuyo CAG huko niniujipendekeza ama ni nini!!??
foleni zipo kwenye mahesabu anayokagua!!??
Ww ndio hujui hapa....mnakuja na ushabiki wa kisiasa stpdKitu kama hujui unyamaze mkuu
Kazi ya CAG ni kuhakikisha fedha za umma zinatumika kwa kufuata taratibu na sheria.
Umejengwa mradi sawa lakini je ujenzi wake umefuata taratibu zinazotakiwa?Ndio hapo anakuambia huo ujenzi haupo kwenye road plans za hiyo njia,kwa maana nyingine umepachikws tu juu kwa juu,kwa tafsiri nyingine matumizi mabaya ta pesa za umma.
Matojeo yake utayaona miaka ijayo kama ilivyokuwa ubungo jengo la tanesco
Sent from my SM-J730GM using JamiiForums mobile app
I have the same swali..NILIDHANI YA ROAD ndo wangeongea haya
Hivi CAG anakagua hesabu za serekali au kila kitu
Nyie ndio hamjui kitu, CAG anakagua matumizi ya fedha kama yanafuata taratibu/sheria na thamani/faida iliyo/itakayopatikana kwa pesa husika!Huyo CAG huko niniujipendekeza ama ni nini!!??
foleni zipo kwenye mahesabu anayokagua!!??
Stand haipo kwenye hifadhi ya barabara isipokuwa ili mabasi kutoka kituoni ni LAZIMA yatasababisha foleni,anachoelezea CAG ni kuwa wakati wa ramani ya mradi wa njia 8 hakukukuwa na hiyo plan ya stand kuwa hapo ilipo hivyo imeleta MWINGILIANO,yamkini kama kwenye ramani wangeambiwa wangejuwa namna ya kufanya.Kwani stendi imejengwa ndani ya hifadhi ya barabara? Tunafahumu mbezi - kimara kulikuwa na bomoabomoa, sasa inakuwaje wenyewe wanajenga ndani ya hifadhi.
Mmmh, shida hii sio fan yako hivyo huwezi kujua.Kama rahisi vile
Hesabu na mengineyo yatokanayo ama yahusianayo na hesabu kwa manufaa ya ummaHivi CAG anakagua hesabu za serekali au kila kitu
Huwezi kujibu kiustaarabu mpaka utukane?Kuna sehemu yoyote niliyotukana?Ww ndio hujui hapa....mnakuja na ushabiki wa kisiasa stpd