RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Hii minne ya mwisho inaweza kuwa vituko na mipasho tu. Sasa CAG hajaona upigaji kwenye ujenzi anahangaika na foleni?!
CAG amesema stendi ya mabasi ya Magufuli iliyopo Kibamba manispaa ya Ubungo haikuwemo katika usanifu wa ujenzi wa barabara ya njia 8 kutoka Ubungo hadi Kibaha.
Kwa maana hiyo stendi ya Magufuli itaongeza msongamano wa magari tofauti na lengo la mradi huo wa barabara la kuondoa kabisa foleni kati ya Ubungo na Kibaha.
Ukinizingua Nitakuzingua!