Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
Tunapoelekea nusu ya msimu mimi Mkaguzi Mkuu wa Sirikali.
USAJILI WA DUBE
Wanachama waangalie jambo hili wakiwahoji viongozi wao. Hizo Milion 700 za kumnunua Dube alikula nani? Tunapoangalia katika misimu ambayo Dube amechezea Azam ni minne. Ambapo ameibuka na magoli jumla 32. Wastani wa magoli 8 kila msimu. Je hakuna mchezaji wa tsh milion 200 anayefika hiyo idadi?
Hoja
Dube amekuwa akicheza matches chache kutokana na kuwa majeruhi.
Akili
Unamsajili mchezaji ambaye muda mwingi ni majeruhi kwa pesa nyingi kiasi hicho. Are you normal? Kwa nini unamsajili mtu ambaye unajua ni majeruhi?
Swali
Mpaka sasa Dube ameshacheza matches ngapi na amefunga magoli mangapi?
Tunahamia ukaguzi wa Usajili Mchezaji mmoja wa Simba.
USAJILI WA DUBE
Wanachama waangalie jambo hili wakiwahoji viongozi wao. Hizo Milion 700 za kumnunua Dube alikula nani? Tunapoangalia katika misimu ambayo Dube amechezea Azam ni minne. Ambapo ameibuka na magoli jumla 32. Wastani wa magoli 8 kila msimu. Je hakuna mchezaji wa tsh milion 200 anayefika hiyo idadi?
Hoja
Dube amekuwa akicheza matches chache kutokana na kuwa majeruhi.
Akili
Unamsajili mchezaji ambaye muda mwingi ni majeruhi kwa pesa nyingi kiasi hicho. Are you normal? Kwa nini unamsajili mtu ambaye unajua ni majeruhi?
Swali
Mpaka sasa Dube ameshacheza matches ngapi na amefunga magoli mangapi?
Tunahamia ukaguzi wa Usajili Mchezaji mmoja wa Simba.