Hi wanaJF,
Naomba msaada. Nimejaribu kukokotoa interest rates za fixed account kwenye bank moja hapa nchini kwa kutumia nested if function kwenye excel. Lengo langu, kama sehemu ya kujifunza MS Exel, ni kupata formula moja ambayo itafaa kwa viwango vyote vya pesa.
Imekubali kwenye category mbili za juu kwenye document ya excel iliyoambatanishwa (yaani shilingi 50,000 mpaka 999,999, na 1,000,000 mpaka 9,999,999). Zaidi ya hapo nikiweka formula inasema false. Ninaomba msaada tafadhali.
Naomba msaada. Nimejaribu kukokotoa interest rates za fixed account kwenye bank moja hapa nchini kwa kutumia nested if function kwenye excel. Lengo langu, kama sehemu ya kujifunza MS Exel, ni kupata formula moja ambayo itafaa kwa viwango vyote vya pesa.
Imekubali kwenye category mbili za juu kwenye document ya excel iliyoambatanishwa (yaani shilingi 50,000 mpaka 999,999, na 1,000,000 mpaka 9,999,999). Zaidi ya hapo nikiweka formula inasema false. Ninaomba msaada tafadhali.