DidYouKnow
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,229
- 1,950
Ninavyojua magari yanakuwa na models, kila model inakuwa na generation yake. Mfano IST ina generations mbili, 2002 hadi 2007 na 2008 hadi sasa hivi. Ndio maana IST ya 2002 haina tofauti na IST ya 2005, japo kunaweza kukawa na modification kidogo tu katika customisation.Hivi wakisema gari ya 2011 ni model ambayo mpaka leo inatengezwa au yalitengenezwa 2011 tu?!?
Aisee ndo nimezidi kuchanganyikiwa!!! Sijaelewa kabisaaNinavyojua magari yanakuwa na models, kila model inakuwa na generation yake. Mfano IST ina generations mbili, 2002 hadi 2007 na 2008 hadi sasa hivi. Ndio maana IST ya 2002 haina tofauti na IST ya 2005, japo kunaweza kukawa na modification kidogo tu katika customisation.
Usicomplicate mambo sana just deal na year of manufacture...the newer the year the higher the price and vice versa is trueNinavyojua magari yanakuwa na models, kila model inakuwa na generation yake. Mfano IST ina generations mbili, 2002 hadi 2007 na 2008 hadi sasa hivi. Ndio maana IST ya 2002 haina tofauti na IST ya 2005, japo kunaweza kukawa na modification kidogo tu katika customisation.
Usisahau li dumping fee hapo kwa gari za zamani 10 yrs way back from the date of manufactureUsicomplicate mambo sana just deal na year of manufacture...the newer the year the higher the price and vice versa is true
Labda kwa magari mapya, kwa used cars sio lazima kuwa hivyo. Gari ya 2007 inaweza kuwa ghali kuliko ya 2010.Usicomplicate mambo sana just deal na year of manufacture...the newer the year the higher the price and vice versa is true
Ndo tulizo na uwezo nazo. Jf hamna mwenye uwezo hata wa kununua Toyota vitz ya 2013Usisahau li dumping fee hapo kwa gari za zamani 10 yrs way back from the date of manufacture
Yeah ni kweli range rover sport HSE ya 2007 ni ghali kuliko ya 2010.Labda kwa magari mapya, kwa used cars sio lazima kuwa hivyo. Gari ya 2007 inaweza kuwa ghali kuliko ya 2010.
Lakini pia kujua generations za magari sio jambo baya kwa mnunuzi.
Sarcasm sio?Yeah ni kweli range rover sport HSE ya 2007 ni ghali kuliko ya 2010.
Wengi hawawezi hiyo itawatoa kamasi ....Ndo tulizo na uwezo nazo. Jf hamna mwenye uwezo hata wa kununua Toyota vitz ya 2013
Ndo tulizo na uwezo nazo. Jf hamna mwenye uwezo hata wa kununua Toyota vitz ya 2013
Land cruiser ya 1986 ni ghali kuliko ya 2007Yeah ni kweli range rover sport HSE ya 2007 ni ghali kuliko ya 2010.
Nenda shule ukasomeAisee ndo nimezidi kuchanganyikiwa!!! Sijaelewa kabisaa