DidYouKnow
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,229
- 1,950
Mjomba wangu alinunua Audi Q7 ya 2011. Akalipa ushuru kama milioni 45 wakati huo kwenye mtandao wa TRA ikionesha ina ushuru wa milioni 43.
Miezi miwili baadaye gari hiyohiyo ukiingia kwenye portal ya TRA inaonesha ushuru wake ni milioni 21. Najiuliza mbona alitumia pesa nyingi sana? Mwaka wa kodi bado haujabadirika. Kulikoni?
Sent using Jamii Forums mobile app
Miezi miwili baadaye gari hiyohiyo ukiingia kwenye portal ya TRA inaonesha ushuru wake ni milioni 21. Najiuliza mbona alitumia pesa nyingi sana? Mwaka wa kodi bado haujabadirika. Kulikoni?
Sent using Jamii Forums mobile app