Calculator ya kodi ya gari TRA imepunguza thamani ya baadhi ya magari?


Theoretically YES but Practically BIG NO.

Gari latest CIF yake tu ni ya kufa mtu na bado ukija kwny calculator ya TRA utakuta CIF Yako imeizidi CIF ya TRA utapigwa tena parefu kuliko hesabu iliyopo kwny calculator ya TRA na BTW ile
damping fee ni % ndogo/ya kawaida sana.
 
Utakuwa ni ujinga kununua gari la 1986.

Hata mo dewji au mtoto wa bakhressa hawezi kununua hata kama ni bei ghali

Utakua hujui hata huko duniani kuna magari yanakua categorized as classic/vintage cars.

Huko duniani wakina bill gates wananunua Porsche 959 ya mwska 1986 na thamani yake ni $1.5mil,hao wakina MO&watoto wa bakhressa waka sio kipimo cha wao kujua magari sanasana wao wataishia tu kukwambia Range rovers,lambo,ferrari,G-Wagon.

Magari ni passion/hobby kwa watu wengine.
 

Nakuelewa kwa sababu unawezakuta gari ya 2009 uchakavu unalipa pesa ndefu au tofauti ndogo na ya 2007, nnachomaanisha nafikiri kuna vigezo vingi zaidi ya mwaka wa gari kutengenezwa.

Mkuu ukisema asilimia ndogo sio mara zote, mfano kuna gari ya 2008 walikula 2,500,000/- uchakavu. Nnachomaanisha ni kwamba, bora nitumie pesa ndefu kupata gari mpya kwa vile natoa mara moja tu kuliko kununua gari kongwe na kulipia uchakavu ikiwa hakuna sababu ya msingi.

Binafsi nimeshafikia huo uamuzi kwa uziefu nikionao. Vinginevyo niwe naihitaji au kuna ulazima wa kuinunua gari ya zamani.
 
Kama wamefanya hivyo maana yake wameshusha thamani ya gari lako na hata ukitaka kuliuza utapata hasara, nenda kashtaki
 
Sasa hivi TRA wanachokifanya ni kucheza na CIF wao wanapandisha bei hapo na bei wanazopandisha hazina uhalisia hicho kitengo cha valuation ya magari inabidi kifumuliwe haiwezekani Subaru Legacy ta 2007 au 2008 uje ulipie ushuru 12,000,000 au Subaru Legacy ya 2010 au 2011 ushuru wake uwe 27,000,000 wakati gari yenyewe inauzwa $3000-4000 wao CIF wameweka ni $9000
 

Kweli mkuu, baadhi ya matajiri wengi huko dunianiani wanapendelea vitu ambavyo vimekuwa classified as vintage, mfano magari na vilevi.
 
Wadau wamechepusha mada, sasa wanabishana juu ya uwezo wa kifedha wa wanaJF.Mleta mada kaachwa solemba,bila majibu.
 
Kumbe simu ni kipimo cha pesa?

Nimemshangaa sana aisee, yan nawajua watu washamba kupitiliza wana mizigo aisee, mfano nlikuwa nafanya kazi kwenye Taasisi moja hivi dar na mtoto wa mzee mmoja wa kinyerezi huko sasa siku moja mtoto wake akanifuata akaniambia baba kaniomba namba yako anaomba kuna kazi ukamfanyie home atakulipa, nikampa namba mzee kanipigia nikaenda kumchek kariakoo.

Nimefika mzee nlokutana nae bwanga na mshati alovaa diamond wa jeje anasubiri anaongea kishamba sana. Ana kisimu kibaya sana. Akanieleza shida yake akaniomba twende kwake, picha linaanza gari tulio enda kupanda ni siku nyingi ila mzee ana Porsche Cayenne 2015, nikashangaa nikadhani jamaa ni house boy katumwa manake physical appearance yake na ile gari havifanani.

Tukaenda mpaka kwake kinyerez mzee hiyo ndio siku nliacha kuwadharau watu nsiowajua, hiyo nyumba tu aisee inakumotivate uamke saa kumi na moja kwenda kutafuta hela.

Iilichonifanya niamin kila kitu ni chake ni ile heshima mule ndani kila mtu anamwogopa, nna uhakika hata kesho ukimwona unaweza mlamba makofi ukadhani ni mpuuz mmoja ambae hajiwezi.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Anasahau humu kuna makatibu wakuu wa wizara(Kitila mkumbo) ,kuna mawaziri(Mwigulu,Kigwangala),wabunge kama Nape etc na kuna Seniors kibao kutoka fields zote wame keep low profile.

Alafu ngoja nimwonyeshe mfano tu wa expenditure tunafanyaga muda mwingine, me huwa nabeti sometimes kupitia simu hiyo hiyo anayoiona fake nilikandamiza mzigo kwenye match za champions league naomba aangalie dau lililokaa alafu aseme kama naogopa kununua iphone 12 sijui anayosema

Mambo mengine tuwe tunavunga tu, tuwe tunapeana encouragement za kupambana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Labda kwa magari mapya, kwa used cars sio lazima kuwa hivyo. Gari ya 2007 inaweza kuwa ghali kuliko ya 2010.

Lakini pia kujua generations za magari sio jambo baya kwa mnunuzi.
Hili sidhan kama kuna kitu cha namna hiyo unless uje na evidence
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…