Kwenye ushuru inawezekana, kuna ile kitu wanaita UCHAKAVU (10 yrs rule).
semper fidelis
Unataka evidence, hiyo ni simple tu!!Hili sidhan kama kuna kitu cha namna hiyo unless uje na evidence
Jifunze maana ya shule kwanza!!! Kuna shule Tanzania zinafundisha generation za magari?!?Nenda shule ukasome
Punguza ushamba dogo.
Poverty ya kwenye ukoo wako usiihamishie kwa mwingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dola elfu 10,000 ni sawa Tshsmbona kama hupend watu wawe na hela ? yan inamana hakuna mtu mwenye excess ya dola elfu 10000 ? mkuu sio kweli , hela haichagui mkuu yan kwenye watu laki tano pakosekane watu hata ishirini wenye milion 100+ ? me siamini..
Sent from my iPhone using JamiiForums
Dola elfu 10,000 ni sawa Tshs
10,000,000 x 2,200 = 22,000,000,000/-
Dola elfu kumi haiwezi kuwa 22B.Haujui mahesabu simple ya exchange rate mkuu.Dola elfu 10,000 ni sawa Tshs
10,000,000 x 2,200 = 22,000,000,000/-
Angalia alichoandikaDola elfu kumi haiwezi kuwa 22B.Haujui mahesabu simple ya exchange rate mkuu.
Humj dollae elfu kumi wanaweza kuwa nazo wengi sana amini.
😃😃Nakumbuka nilienda kumuomba link mtu anisaidie kukutana na ma CEO/Owners wenye kampuni za turnover ya 500M kwa mwaka, niliekuwa namuulizia nikawa nampuuza.Akaniambia hata yeye anafika!!!
Mwaka huu nimesindikiza mtu yuko simple sana,kwenda kudai deni.Kufika nakuta anadai almost dollar laki 4 na ushee(narudia us dollar 400,000)
Ndo maana nimemkubalia maana alishaanza kuniona Mimi mdangaji lakini I swear kuna watu jf wako vzr kiukweli kabisaa wanawake na wanaume pia halafu wazungu balaa!!!muache akaege na wivu wake huo aoneaisee noma sana aisee anasahau kuwa hela haichagui sehemu ya kuingia inaingia popote pale, aangalie wazee wa kikinga wanatumia aina gani za simu kariakoo pale alafu achek wana magorofa mangapi ndio ataelewa hela ni nini
Sent from my iPhone using JamiiForums
HahahahaSijasema sipend watu wawe na hela ila nikuwa humu ndan wenye hela hawapo.
Hata wewe mwenyewe unatumia iPhone toleo la miaka minne nyuma wakati Leo hii tupo kwenye 11 tunaelekea 12[emoji14]
Hahahaha, aseeNdo tulizo na uwezo nazo. Jf hamna mwenye uwezo hata wa kununua Toyota vitz ya 2013
Wengi hawawezi hiyo itawatoa kamasi ....
na ukiwaambia brand new ndio watakimbia kabisa!!
Hahahaha, JF wote au baadhi ya uliowahi kukutana nao?Ndo tulizo na uwezo nazo. Jf hamna mwenye uwezo hata wa kununua Toyota vitz ya 2013
Wengi haimaanishi wote....Hahahaha, JF wote au baadhi ya uliowahi kukutana nao?
Umaskini wetu basi anataka kila mtu afanane nasisi[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]watu wana maisha humu!tupunguze tu wivuHahahaha, JF wote au baadhi ya uliowahi kukutana nao?
Hahahaha, ni kweli kabisa ,na kwann uwe na wivu?Umaskini wetu basi anataka kila mtu afanane nasisi[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]watu wana maisha humu!tupunguze tu wivu
Sent using Jamii Forums mobile app
Oooh, sawaWengi haimaanishi wote....
ni wachache kulinganisha na wengi wenye uwezo wa kununua brand new vehicle.
Si mtu kakuzidi na we huna basss taabuHahahaha, ni kweli kabisa ,na kwann uwe na wivu?
Wee watu wana hela humu, acha dharau dogoKama nan madam? Kati ya watu laki 5 humu ndan wote njaa tu!! Hawahawa ikifika tarehe 22 wanaulizia sms za nmb?
Njoo na ushahidi kuwa walishakuhonga japo hata kiwanja. Sio kukunulia beer na nyama kisha mnaishia gesti za uchochoroni.
Nb;wenye hela hata hawajui jf ni kitu gan