California, USA 🇺🇸 vs Africa (2023)

California, USA 🇺🇸 vs Africa (2023)

Historia gani? Hii ya biashara ya utumwa?
Unaelewa maana ya "biashara ya utumwa" ni nini?

Kama ilikuwa biashara ya utumwa, madai kwamba watumwa au wananchi kutoka Afrika walitumikishwa bure America yanaeleza nini?
Una bichwa tupu
 
Yani Afrika imedumazwa kwa ujangili uliofanywa na wazungu, sehemu nyingi wametumia nguvu hata hawakununua watumwa. Sehemu nyingine wameshirikiana na machifu majangili.

Afrika imedumazwa. Marekani ikaendelea.

Kweli hapo unaona sawa kulinganisha Afrika na Marekani?
Mwandishi anapolinganisha Afrika na California hataki kutuonyesha kwamba California ipo hapo ilipo kimaendeleo kwa sababu ya watumwa kutoka Afrika na maeneo mengine ya dunia.

Kuna mambo kadhaa muhimu ya kujiuliza kuhusu hilo.

Jambo la kwanza ni shughuli za utwamwa zilikoma lini?

Jambo pili, ni eneo lililotoa watumwa wengi kuliko maeneo mengine dunia, eneo la Afrika ambalo linalinganishwa na California lilipata uhuru wake lini?

Jambo la tatu na la muhimu sana ni Afrika inafanya mambo gani na California inafanya mambo gani?

Kimsingi kama tunataka kuwa wakweli na kutumia akili katika kuona mambo ni wazi kuwa Afrika inaharibiwa na waafrika wenyewe. Na mambo hayo yako wazi.
 
Kwani mtaalam unaposema wayahudi sio moja ya makabila kumi na wawili ?

Pia unasema wamerudi wenyewe maana yake ni kuwa walikuwepo kabla si ndio mtaalam ?
Nasema si noja ya makabila kumi na mbili kwa sababu wewe unawa link na wale historical waliochukukiwa utumwani.

Wamerudi wenyewe kwa maana hapo kulikuwa na wayahudi na wayahudi wamekuja tena lakini si hao hao.

Hawa wa sasa wametokea Ulaya.
 
Mwandishi anapolinganisha Afrika na California hataki kutuonyesha kwamba California ipo hapo ilipo kimaendeleo kwa sababu ya watumwa kutoka Afrika na maeneo mengine ya dunia.

Kuna mambo kadhaa muhimu ya kujiuliza kuhusu hilo.

Jambo la kwanza ni shughuli za utwamwa zilikoma lini?

Jambo pili, ni eneo lililotoa watumwa wengi kuliko maeneo mengine dunia, eneo la Afrika ambalo linalinganishwa na California lilipata uhuru wake lini?

Jambo la tatu na la muhimu sana ni Afrika inafanya mambo gani na California inafanya mambo gani?

Kimsingi kama tunataka kuwa wakweli na kutumia akili katika kuona mambo ni wazi kuwa Afrika inaharibiwa na waafrika wenyewe. Na mambo hayo yako wazi.
Hata kama ni kqeli Afrika inaharibiwa na wa Afrkka wwnyewe, hilo haliondoi ukweli kuwa Marelani imeendelea kwa kazi ya watumwa.

This logical fallacy is a false dichotomy

Na hilo halijalishi utumwa umeisha mwaka gani. Kwa sababu ulivyoisha wenzetu walishakuwa mbali sana.

Swali la Africa inafanya mambo gani na California inafanya mambo gani haliondoi ukweli kwamba Marekani imeendelea kwa kazi za watumwa.
 
Back
Top Bottom