Calisah azidi kuvujisha picha za Wema

Huyo mchizi amenifurahisha sana ana wivu sana eti anaulizwa idris sultan unamjua eti anasema amjui ata kumsikia ajawai
 
Hii ni fundisho kwa wanawake wote usiparamie Mwanaume hovyo kabla hujamjua vingenevyo muanze na system ya Kugegendwa gizani
Mbona me naona kama huyo wema ndo kashika camera sasa ni nani aliyevujisha kama sio wema mwenyew
 
Tatizo wanaume wa dar ndo zao...wakisha pakia kifurushi cha mhogo mbichi,karanga mbichi,kipande cha tango,kipande cha tikiti maji akishushia na supu ya pweza!basi ndo zao hizi!
 
Wema ana umri wa miaka 24 wewe mbona unamuongezea sio vizuri
 
Kuna point ataanza kukumbuka kuwa anatakiwa kuzaa na kulea familia yake lakini itakuwa too late maana atakuwa kashaanza kusalimiana shikamoo na menopause na hakuna mwanaume anayependa kuoa janamke limalaya
 
Huyu Wema hiyo K yake aisee...maana kila kukicha unasikia jamaa mpya nae kala mzigo!
 
Hv huyu wema hakui jamani? Maana nakumbuka wakati anagombea umiss Tz, mi nilikuwa form 3 hadi leo nakaribia miaka 30 na mtoto juu lkn mwenzangu bado yuko na 24 tu, dah..... Hatari sana.
[emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…