Ktk nchi za ulaya hiii kitu inafanywa sana ,,ila sio kwa kujitangaza ..mama unaenda kwenye vituo vya sperm bank ,, unatolewa picha ya mwenye speem zen unadungishwa !!.
Nachokiona hapa ,,huyu model anataka apige ndege wanne kwa wakat mmoja.
1/kuvuna pesa.
2/kula nyuchi tofauti tofauti.
3/Kua na baba Wa watoto lkn asohudumia
4/Kuzidi kutrend hapa mjini.
All in all... biashara nimatangazo ILA matangazo yahuyu bwana mdogo laweza kua sehem ya migogoro kwa ** wanandoa matahira**