Camara ni Golikipa mzuri tena sana ila Kujiamini kwake kunatuponza

Camara ni Golikipa mzuri tena sana ila Kujiamini kwake kunatuponza

Bani Israel

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2016
Posts
1,775
Reaction score
3,593
Golikipa mzuri anajua kudaka kiwango chake ni cha juu sana footwork yake pia ni nzuri ishot ni aina ya golikipa wa kisasa ila tatizo la golikipa wetu hakubali kwamba sio kila mpira unaomjia ni wa kuhangaika nao.

Shuti kama lile lilikuwa na haja gani ya kukomaa nalo kulirudisha uwanjani? Kwann asingelitemea nje shuti kali mtu yupo hewani anakomaa aunyakue mpira kama nyani ni ngumu, Na mwamba anazingua hapo tu.

Aliemtunga huyu jamaa spider nae mnafiki tu nae anatuponza alaaniwe.
 
Golikipa mzuri anajua kudaka kiwango chake ni cha juu sana footwork yake pia ni nzuri ishot ni aina ya golikipa wa kisasa ila tatizo la golikipa wetu hakubali kwamba sio kila mpira unaomjia ni wa kuhangaika nao, shuti kama lile lilikuwa na haja gani ya kukomaa nalo kulirudisha uwanjani? Kwann asingelitemea nje shuti kali mtu yupo hewani anakomaa aunyakue mpira kama nyani ni ngumu, mwamba anazingua hapo tu. Aliemtunga huyu jamaa spider nae mnafiki tu nae anatuponza alaaniwe.
Labda alitaka kucheza na jukwaa si uliliona lile nyomi, may be kapagawa nalo.
 
Golikipa mzuri anajua kudaka kiwango chake ni cha juu sana footwork yake pia ni nzuri ishot ni aina ya golikipa wa kisasa ila tatizo la golikipa wetu hakubali kwamba sio kila mpira unaomjia ni wa kuhangaika nao, shuti kama lile lilikuwa na haja gani ya kukomaa nalo kulirudisha uwanjani? Kwann asingelitemea nje shuti kali mtu yupo hewani anakomaa aunyakue mpira kama nyani ni ngumu, mwamba anazingua hapo tu. Aliemtunga huyu jamaa spider nae mnafiki tu nae anatuponza alaaniwe.

Screenshot_2024-10-19-18-31-30-30.jpg
 
Ule mpira ulikuwa unaenda unazunguka, kwa mtiti wa mechi lazima ajizatiti kuwa hawezi kubadili uelekeo kwenda ndani.

Mpira ulikuwa na kutafutana sana pale kumlaumu kipa na kama mpira ungeingia ndani mnemlaumu mara 70 kuwa ameuza mechi.
 
Ntaongea vitu vingi ila Quality ime amua mechi.
Kipindi Cha pili, Sub ya Mzize na Msonda iliwafanya Simba wachoke na kufanya makosa mengi.
 
Hakuna kipa pale
Lakred arudi
Ni nyinyi pia mnalalamika wachezaji kwa nini wanawekwa benchi alafu siku wakirudishwa na wasifanye vizuri bado mnalalamikia kocha.

Ni ngumu sana kumfurahisha binadamu kila wakati na hata kocha akiondoka msidhani simba ina sub bora yoyote.

Bado simba tuna kazi dirisha dogo.
 
Ntaongea vitu vingi ila Quality ime amua mechi.
Kipindi Cha pili, Sub ya Mzize na Msonda iliwafanya Simba wachoke na kufanya makosa mengi.
Kama wachezaji wa mbele hawakai na mpira muda wote mnashambuliwa lazima mabeki wachoke.... Tena baada ya Kagoma kutoka ndo ikawa kufuru...
 
Ule mpira ulikuwa unaenda unazunguka, kwa mtiti wa mechi lazima ajizatiti kuwa hawezi kubadili uelekeo kwenda ndani.

Mpira ulikuwa na kutafutana sana pale kumlaumu kipa na kama mpira ungeingia ndani mnemlaumu mara 70 kuwa ameuza mechi.
Ni kweli mpira ulikuwa wa kuzunguka ila usingeingia nyavuni sana sana ungegonga mwamba,kuna haja gani ya kuudaka na kurudisha ndani wakati ni rahisi kuutoa nje
 
Golikipa mzuri anajua kudaka kiwango chake ni cha juu sana footwork yake pia ni nzuri ishot ni aina ya golikipa wa kisasa ila tatizo la golikipa wetu hakubali kwamba sio kila mpira unaomjia ni wa kuhangaika nao.

Shuti kama lile lilikuwa na haja gani ya kukomaa nalo kulirudisha uwanjani? Kwann asingelitemea nje shuti kali mtu yupo hewani anakomaa aunyakue mpira kama nyani ni ngumu, Na mwamba anazingua hapo tu.

Aliemtunga huyu jamaa spider nae mnafiki tu nae anatuponza alaaniwe.
Endeleeni kumlinganisha na diarra, mwenzake anaendelea kukusanya cleen sheet kwa ubora wake yeye acha aendelee kutafuta sifa mtajuta!
 
Back
Top Bottom