Cameroo: Ashinda $22m kampuni ya 1xbet yafuta account yake

DR SANTOS

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2019
Posts
12,846
Reaction score
28,106
Habari Wanajamvi wakati watu tukiendelea kutafuta ela watu wanadhurumiwa haki zao

Jamàa alibeti timu 13 kampuni ya 1xbet na kuweka dau la $350, na ikaleta kiasi cha $22m Sawa na bilioni 50TSH.

Na aliposhinda mkeka huo kampuni ya moja bet ilifuta account ya jamaa huyo ili wasimlipe pesa.
Alipokwenda ofisini walimpa ofa ya $687000 jamaa alikataa na kuhitaji pesa zote.
1xbet walikanusha na kusema $22m Ni kinyume na terms and condition za malipo Yao kwa mshindi.

Soma vizuri hapa:
 
Yaani kutoka 22M unagewa 687K na ungekubali? Unless kama niliedit hizo ishu ili niwapige lakini kama ni mpunga halali aisee hakuna kitu kama hicho
Mm nisingekubali
 
Huko ni kutokusoma Terms and conditions.., mbona online bookies wote wana maximum payouts ? Hata ushinde kiasi gani hawawezi kukupa zaidi ya hio maximum.....

Hao walitaka tu kumalizana haraka ili asiwachafu kibiashara (bad publicity) ila ukweli ni kwamba huyo jamaa hana Kesi kwahio kama hicho ndio kiasi alichopewa ndio maximum payout akichukue ila kama sio maximum basi adai apewe maximum
 
Basi unavostake wangekataa mbona stake yako wanakubali kulipa wanakataa
 
Basi unavostake wangekataa mbona stake yako wanakubali kulipa wanakataa
Huenda unaamua kutoa Sadaka kwenye terms and conditions (ambazo inabidi muhusika mwenyewe uzisome hizo zipo) inagawa kama tofauti ni kubwa sana sometimes slip inakataa inakwambia kabisa maximum winning...

Anyway kisheria jamaa hawezi kulipwa ila kibiashara hili linaweka doa kwenye Kampuni, Kampuni ingefurahi kama wangemalizana kimya kimya au wanaweza wakamuongezea dau kidogo ila wakamlazimisha ku-sign no disclosure agreement kwamba asiongee kitu
 
Ngumi Sana kumshawishi mtu alopigika na maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…