Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
Kwa terms and condition wanaweza kukomelea hapo kwenye kumlipa mtejaJamaa angechukua tu hyo ofa waliyompa.. Vinginevyo atazungushwa mpaka aone kizunguzungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa terms and condition wanaweza kukomelea hapo kwenye kumlipa mtejaJamaa angechukua tu hyo ofa waliyompa.. Vinginevyo atazungushwa mpaka aone kizunguzungu.
lakini hata betpawa ukibetia kuanzia sh 1 hadi 500 utakachopewa si zaidi ya mil 80 ,ukizidi hawaruhusu Uber hadi upunguze timu,kidogo ni afadhali kuliko unaruhusu mtu abeti halafu anashinda zaidi ya kiwango halafu unagoma kutoa mpungaBasi unavostake wangekataa mbona stake yako wanakubali kulipa wanakataa
Tatizo wacheza kamari ni vijana wajinga wajinga hawajui cha kufanya.Huenda unaamua kutoa Sadaka kwenye terms and conditions (ambazo inabidi muhusika mwenyewe uzisome hizo zipo) inagawa kama tofauti ni kubwa sana sometimes slip inakataa inakwambia kabisa maximum winning...
Anyway kisheria jamaa hawezi kulipwa ila kibiashara hili linaweka doa kwenye Kampuni, Kampuni ingefurahi kama wangemalizana kimya kimya au wanaweza wakamuongezea dau kidogo ila wakamlazimisha ku-sign no disclosure agreement kwamba asiongee kitu