Cameroon: Ajali ya moto klabuni yaua takriban watu 16

Cameroon: Ajali ya moto klabuni yaua takriban watu 16

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Serikali Nchini Cameroon imesema takriban watu 16 wamefariki dunia kwenye Klabu iliyopo Mji Mkuu wa Taifa hilo, Yaounde kufuatia ajali ya moto iliyosababishwa na fataki

Kwa Mujibu wa Wizara ya Habari na Mawasiliano, Ripoti ya Awali inaonesha ajali imesababishwa na milipuko ya fataki ambazo mara nyingi zinatumika maeneo hayo. Milipuko hiyo ilipelekea hofu na mkanyagano

======

At least 16 people died and eight others were injured early on Sunday in a fire that engulfed an upmarket nightclub in Cameroon's capital Yaounde, the government said.

"The incident was caused by the explosion fireworks usually used in the nightclub," it said in a statement, adding that these had sparked a fire on the ceiling which caused further explosions and panic in the night club.

Source: Reuters
 
Fireworks, nightclub. Walitarajia nini kwa hii combination!
 
Back
Top Bottom