Cameroon: Bibi harusi anguka ghafla na kuaga Dunia wakati sherehe za harusi zikiendelea

Cameroon: Bibi harusi anguka ghafla na kuaga Dunia wakati sherehe za harusi zikiendelea

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Katika hali kuendelea kufurahi lakini ghalfa watu wanadondosha machozi na vilio vingi baada ya kupokea au kushuhudia mmoja wao anapata tatizo ambalo linampelekea kufariki dunia.

Sikia hiki kisa kutoka huko Cameroon
=========
Katika hali ya kushangaza Jumamosi ya Oktoba 26, bibi harusi aliyefahamika Kwa jina la Sorelle Manuella, alianguka ghafla na kuaga Dunia wakati sherehe za harusi zikiendelea huko Douala Cameroon, baada ya kupata mshtuko wa moyo.

Sorelle aliyekuwa akiimba kwaajili ya mume wake alianguka ghafla, huku wengi wakidhani pengine alikuwa anaigiza kuchangamsha watu waliojitokeza lakini baada ya kuwa kimya Kwa muda ndipo wakagundua kuwa amepata na matatizo, na haraka jitihada za kumuokoa zikaanza na baadaye kumuwahisha hospitali.

Baada ya kupelekwa katika hospitali mbili tofauti, taarifa za Madaktari zilionyesha kuwa sorelle ameaga Dunia baada ya kupata mshtuko wa moyo wakati sherehe hizo zikiendelea.

Sorelle ameacha mume na watoto watatu, huku mtoto wake wa mwisho akiwa na umri chini ya mwaka mmoja.

Soma Pia: Bibi harusi mtarajiwa, mama yake wafa ajalini wakielekea Kilimanjaro kwenye maandilizi ya harusi yake
 
Katika hali kuendelea kufurahi lakini ghalfa watu wanadondosha machozi na vilio vingi baada ya kupokea au kushuhudia mmoja wao anapata tatizo ambalo linampelekea kufariki dunia.

Sikia hiki kisa kutoka huko Cameroon
=========
Katika hali ya kushangaza Jumamosi ya Oktoba 26, bibi harusi aliyefahamika Kwa jina la Sorelle Manuella, alianguka ghafla na kuaga Dunia wakati sherehe za harusi zikiendelea huko Douala Cameroon, baada ya kupata mshtuko wa moyo.

Sorelle aliyekuwa akiimba kwaajili ya mume wake alianguka ghafla, huku wengi wakidhani pengine alikuwa anaigiza kuchangamsha watu waliojitokeza lakini baada ya kuwa kimya Kwa muda ndipo wakagundua kuwa amepata na matatizo, na haraka jitihada za kumuokoa zikaanza na baadaye kumuwahisha hospitali.

Baada ya kupelekwa katika hospitali mbili tofauti, taarifa za Madaktari zilionyesha kuwa sorelle ameaga Dunia baada ya kupata mshtuko wa moyo wakati sherehe hizo zikiendelea.

Sorelle ameacha mume na watoto watatu, huku mtoto wake wa mwisho akiwa na umri chini ya mwaka mmoja.

Soma Pia: Bibi harusi mtarajiwa, mama yake wafa ajalini wakielekea Kilimanjaro kwenye maandilizi ya harusi yake
Mambo ya kuoa mashangazi
 
Katika hali kuendelea kufurahi lakini ghalfa watu wanadondosha machozi na vilio vingi baada ya kupokea au kushuhudia mmoja wao anapata tatizo ambalo linampelekea kufariki dunia.

Sikia hiki kisa kutoka huko Cameroon
=========
Katika hali ya kushangaza Jumamosi ya Oktoba 26, bibi harusi aliyefahamika Kwa jina la Sorelle Manuella, alianguka ghafla na kuaga Dunia wakati sherehe za harusi zikiendelea huko Douala Cameroon, baada ya kupata mshtuko wa moyo.

Sorelle aliyekuwa akiimba kwaajili ya mume wake alianguka ghafla, huku wengi wakidhani pengine alikuwa anaigiza kuchangamsha watu waliojitokeza lakini baada ya kuwa kimya Kwa muda ndipo wakagundua kuwa amepata na matatizo, na haraka jitihada za kumuokoa zikaanza na baadaye kumuwahisha hospitali.

Baada ya kupelekwa katika hospitali mbili tofauti, taarifa za Madaktari zilionyesha kuwa sorelle ameaga Dunia baada ya kupata mshtuko wa moyo wakati sherehe hizo zikiendelea.

Sorelle ameacha mume na watoto watatu, huku mtoto wake wa mwisho akiwa na umri chini ya mwaka mmoja.

Soma Pia: Bibi harusi mtarajiwa, mama yake wafa ajalini

 
Katika hali kuendelea kufurahi lakini ghalfa watu wanadondosha machozi na vilio vingi baada ya kupokea au kushuhudia mmoja wao anapata tatizo ambalo linampelekea kufariki dunia.

Sikia hiki kisa kutoka huko Cameroon
=========
Katika hali ya kushangaza Jumamosi ya Oktoba 26, bibi harusi aliyefahamika Kwa jina la Sorelle Manuella, alianguka ghafla na kuaga Dunia wakati sherehe za harusi zikiendelea huko Douala Cameroon, baada ya kupata mshtuko wa moyo.

Sorelle aliyekuwa akiimba kwaajili ya mume wake alianguka ghafla, huku wengi wakidhani pengine alikuwa anaigiza kuchangamsha watu waliojitokeza lakini baada ya kuwa kimya Kwa muda ndipo wakagundua kuwa amepata na matatizo, na haraka jitihada za kumuokoa zikaanza na baadaye kumuwahisha hospitali.

Baada ya kupelekwa katika hospitali mbili tofauti, taarifa za Madaktari zilionyesha kuwa sorelle ameaga Dunia baada ya kupata mshtuko wa moyo wakati sherehe hizo zikiendelea.

Sorelle ameacha mume na watoto watatu, huku mtoto wake wa mwisho akiwa na umri chini ya mwaka mmoja.

Soma Pia: Bibi harusi mtarajiwa, mama yake wafa ajalini wakielekea Kilimanjaro kwenye maandilizi ya harusi yake
Heka heka zilikuwa nyingi mno.sijui kwa nini siku hizi mabibi harusi wanakuwa nanpilika nyingi kuliko hata MC.on the other side,watu wengi pia siku hizi wanaishi na magonjwa ambayo hawaju kama wanayo.Sukari na blood presure
 
Kifo bhana, huwa kinashindwa kueleweka pindi kinapotokea wakati wa sherehe, mtu upo tu unaongea vema na hukuwa na shida yoyote ile, halafu ghafla unazima

Ni ngumu sana kwa wanaobaki kukielewa kifo!

Lakini ukweli wake ni kwamba, kifo ni mgeni asiyejulikana wala kufahamika atakuja lini, saangapi na ukiwa wapi, unaumwa, hauumwi, unatembea, unakula, unadrive n.k

Kila mmoja atafikiwa na mgeni huyu kwa niia zozote zile

We endelea kuloga wenzako kana kwamba wewe utaepukwa na kifo
 
Back
Top Bottom