Cameroon: Mabasi 89 yaliyotumika Afcon 2021 hayajulikani yalipo

Nyie ccm mnaipeleka wapi nchi?
 
Mabasi 89 kivipi.

89/24 ni kama basi 4 kwa kila nchi
Mkuu hakika hii ni ajabu na mshangao mkubwa sana. How can't 89 buses be traciable hata kama wafanyakazi hawajalipwa?! Mamlaka za usimamizi zipo wapi?
 
Africa ukipata nafasi butua najua hii vita anaandaliwa etoo wamtoe pale baada ya kumpa rafiki yake team wengi hawakukubaliana nae show imeanza etoo anaundiwa zengwe mapema.
Mbn sasa huyo rfk yake kapeleka time fida
 
Hiyo ya Cameroon cha mtoto. Siku FIFA wajichanganye worldcup ifanyike tz watajua hawajui. Hadi ndege na helicopter zitafichwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…