Cameroon vs Chile live TV1

africa tuna vitu vya kujifunza sana kutoka kwa wenzetu. Wenzetu wakiwa uwanjani wanajua kitu kimojatu ni ushindi lakini sisi ni misifa na kukosa umakini.
 
nimalizie kwa shukrani kwa wenzangu wote tuliokua tunafatilia mpira huu kupitia TV1 na kuwapongeza kwa dhati kabisa TV1 wazee wa "toroka uje" kwa kutuletea burudani majumbani yetu.

Jamaa zetu wachina wa Startimes walipanga kutufyatua michuzi ili kuona matangazo haya lakini ninyi kwa uzalendo mkubwa mmetuletea Bure kabisa Asanteni Sana.
 
Mkuu ile sheria ya goli la dhabu ilikua inang'ata kotekote mkuu.Ingawa iliwahi kunitoa machozi mwaka 1997!!dakika 30 za nyongeza jamaa wakamaliza game dk ya 8 tuu!
 
Aise poleni sana Cameroon,,haikuwa bahati yenu. Pamoja na kubebwa kote huko lakini mmeshindwa hata kifuta machozi tu!!!!!!!
 
Cmroon wameupiga mwing cku wakikutna na Tz tutasingizia ubovu wa kamba za viatu haziban vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…