Camouflagers na informers

Camouflage na informers wapo wengi sana...

Haswa wengine utawakuta maeneo ambayo kwa hali ya kawaida mtu hawezi kuthubutu kuweka bishara ya kuuza vipipi na karanga eneo hilo...

Ningeyataja hayo maneno ila wacha niake kimya...


Cc: mahondaw
Unataka kuharibu ! Ukitoa siri utakuwa umeisaliti taifa lako
 
Unampa taarifa ulijuaje ndio kazi yake? Hata yeye ndio maana hakupenda kukubalia livee. Coz kazi zao hazifanywi kama ulivyofanya wewe.
 
Tuwanawasoma tu mnavyotiririka ,hii mada iko kwa kazi maalum kusoma upepo . maoni ya watu juu ya wanakitengo .
 
Naziomba hizo namba.
Hawa nimekutana nao nikiwa chuo. Tena ndio wengi.
Huwa mara nyingi wanakuwa vimbele front kwenye migomo na haki za wanafunzi.. ila wanapotea na kuonekana vipindi vya mitihani tu.
Mmoja wao ninzao namba zake mpaka leo.
 
Well said ,
 
Hivi aliyeiba chakula na aliyemkamata mwizi wa chakula nani yuko sahihi?



MAGUFULI4LIFE.
 
Aliye sahihi[emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
Gold head attract gold things,and it is inborn not experienced. Tunawahitaji watu wa namna hii kuweza kutufungulia njia ili binadamu tujue tuendako nasio watu wakuchezewa hata kidogo kila taifa linawahitaji. (Hongera kwa mada tulivu).
 
Gold head attract gold things,and it is inborn not experienced. Tunawahitaji watu wa namna hii kuweza kutufungulia njia ili binadamu tujue tuendako nasio watu wakuchezewa hata kidogo kila taifa linawahitaji. (Hongera kwa mada tulivu).
[emoji121][emoji109][emoji123][emoji109][emoji123][emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…