Camouflagers na informers

Daaa haya ni uhalisia Wa hali ya juu mana hata Jana niliona bro, ha ha ha
 

Kama yule mama Polisi aliyemuuzia papai
 
Noted ,hivi Dr shika bado yupo... Watu wakadai nae alitumwa kuharibu mnada sijui na wafanyabiashara?
 
Yule ni kiboko aisee matukio yote ya vurugu anakuwepo sijui kahamishiwa wapi siku hizi

Kuna moja hiyo ilitokea ajali hapa mandela road saa nane usiku akawa na wale vibaka wa barabarani wakaiba na kuondoka halafu dakika chache akarudi kuzuia magari yasipite na kutafuta msaada wa kupeleka majeruhi hospital hapo ndo nilipo anza kumshtukia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…