Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anazunguka nae kuuza madafu sioYupo na yule muuza madafu wa Samora
Daaa haya ni uhalisia Wa hali ya juu mana hata Jana niliona bro, ha ha haMfano wa kwanza
Kiongozi mkubwa anapotaka kutembelea eneo fulani, wazugaji na watoa taarifa za siri hufika wiki moja ama zaidi kabla ya ziara rasmi... Hapa hujigawa katika makundi mawili
. kundi la kwanza ni la kusoma hali ya hewa kiusalama na kukubalika kwa kiongozi.. Mambo mabaya yanayotendwa na viongozi wa eneo husika na maoni ya wadau
. kundi la pili ni wazugaji. Hawa ni wana kitengo cha propaganda ili kuonyesha kukubalika, kuaminika na kuungwa mkono kwa kiongozi na imani juu ya wale aliowatembelea.. Hapa si ajabu kumkuta kiongozi anakula chakula mtaani kwenye banda fulani bila hofu, kunywa kinywaji kama dafu ama kula kitu kama karanga tunda nk... Wauzaji wa vitu vyote hivi ni watumishi wake waaminifu
Jr[emoji769]
Mfano wa kwanza
Kiongozi mkubwa anapotaka kutembelea eneo fulani, wazugaji na watoa taarifa za siri hufika wiki moja ama zaidi kabla ya ziara rasmi... Hapa hujigawa katika makundi mawili
. kundi la kwanza ni la kusoma hali ya hewa kiusalama na kukubalika kwa kiongozi.. Mambo mabaya yanayotendwa na viongozi wa eneo husika na maoni ya wadau
. kundi la pili ni wazugaji. Hawa ni wana kitengo cha propaganda ili kuonyesha kukubalika, kuaminika na kuungwa mkono kwa kiongozi na imani juu ya wale aliowatembelea.. Hapa si ajabu kumkuta kiongozi anakula chakula mtaani kwenye banda fulani bila hofu, kunywa kinywaji kama dafu ama kula kitu kama karanga tunda nk... Wauzaji wa vitu vyote hivi ni watumishi wake waaminifu
Jr[emoji769]
Hilo ni kosa kubwa sana maana limeharibu kilichokusudiwa na litajenga mbegu ya mashaka (seed of doubt) hata kwenye matukio ya kweli yataonekana ya kupangwa inaonyesha kuna makosa mengine tusiojua hatuyaoni ila wanaojua wanayaonaLimegeuzwa ndani nje... Kinachoonekana ni kama nembo ya serikali
Jr[emoji769]
Dkt. Louis Shika: Undercover informer aliyenusurika kifo ughaibuni? - JamiiForumsNoted ,hivi Dr shika bado yupo... Watu wakadai nae alitumwa kuharibu mnada sijui na wafanyabiashara?
huyu n nan
Ohooooo !! Mkuu ni vizuri jina la mtu huyu na makazi yake vikaanikwa
😆😆😆😆 Hivi isingewezekana kuuza mahindi bila bunduki ili watudanganye vizuri