Camouflagers na informers

Hii muvi inaitwaje??
 
Mwanajeshi na aje achunguze uraini ngumu sana kaka
 
Oya kuna dada kasoma vyuo vyote UDSM , SUA ,IFM na saivi yupo S,AUT firt year nimesikia nmecheka sana.
 
Oya kuna dada kasoma vyuo vyote UDSM , SUA ,IFM na saivi yupo S,AUT firt year nimesikia nmecheka sana.
🤣 🤣 🤣 🤣 ndio hivyo bro. Wapo kila kona. Uwe makini sana pia na ma barmaid, unakuta kuna barmaid mkali sana na yuko njema kwenye kila nyanja, ila anazibua vizibo. Kisha unabaki unajiuliza, hivi huyu kakosa kazi hata ya u sekretari sehemu kweli?
 
Kuna jamaa... Yupo chuo tangu 2014 kila mwaka anadisco kumbe ana mambo yake
 
Uwe na kadi ya lumumba na cheti cha kuzaliwa cha bibi yako mzaa baba yako Shangazi yake mjomba wako ndiyo yule dada yako
Unaandika kama masihara, asipokuelewa atapuuza.
 
Sema kuna mwanangu anafundisha primary ila ni mwanajeshi na hafundishi shule ya jeshi sjui alikuwa kuwaje
Kawaida sana hiyo jiulize kuna wengine wamejaa bandarini,TRA wanafanya kazi za kiraia bila kujulikana na wengi
 
Kuna jamaa... Yupo chuo tangu 2014 kila mwaka anadisco kumbe ana mambo yake
Nilikuwa nafuatilia mashamba kwenye wilaya fulani huko ndani ndani Kwenda Ofisi za halmashauri miongoni mwa maafisa ardhi ni kijana ambaye mvaa buti
 
Ila kuna kazi zina risk sana aisee,,,!!
Sasa kwa mfano akibebeshwa mimba na huyo muhalifu,, hii imekaa vipi hii,,!?
Upelelezi umekamilika, jamaa kishakamatwa na huyo bi-dada tayari kitambi,, haya nani analea mtoto!?
Wanachomoa. Na wanakuwa wanajua. So most of the time wana round off all possibilities.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…