OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usishangae huyo ndiyo yeye[emoji15][emoji15][emoji15][emoji87][emoji87][emoji87][emoji144][emoji144][emoji144][emoji124][emoji124]
Jr[emoji769]
Dah! Jibu limeni disappoint Sana hili asee...wewe sio wa kunijibu kwa Mizunguko hivi...nilitegemea angalau unipe hints chache za kunifungua macho, masikio na ubongo kidogo...ila fresh baridaa.Ni ngumu sana
Unaweza hata kumkuta akijifanya chizi maarifa
Muuza urembo
Mwalimu
Fundi nknk kulingana na nature ya kazi...
Jr[emoji769]
[emoji15][emoji3] amateurs...!Wale waliomdungua Mh. Lisu na waliomkwida Mh. Nape watakuwa kundi lipi kati ya Amateurs & professionals.?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh inaelekea una majibu yako tayari kichwani ama pengine ulitegemea nikutajie kwa majina?Dah! Jibu limeni disappoint Sana hili asee...wewe sio wa kunijibu kwa Mizunguko hivi...nilitegemea angalau unipe hints chache za kunifungua macho, masikio na ubongo kidogo...ila fresh baridaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahitaji kujifunza mkuu, unajua elimu Hiyo ni pana na adhimu. Na yumkini ni elimu iliyo nje ya mitaala yetu hii ya kawaida. Hivyo ninapoona elimu Hiyo Au mtu mwenye maarifa kidogo kuhusu Habari hizo shauku ya udadisi hunipanda kama Mori, na sio vinginevyo boss.Mmh inaelekea una majibu yako tayari kichwani ama pengine ulitegemea nikutajie kwa majina?
Jr[emoji769]
Poapoa ila kiukweli hao watu hawana alama wala mavazi maalum kiasi cha kuweza kuwatambua kwa urahisi na ni watu wa kila kaliba katika jamiiNahitaji kujifunza mkuu, unajua elimu Hiyo ni pana na adhimu. Na yumkini ni elimu iliyo nje ya mitaala yetu hii ya kawaida. Hivyo ninapoona elimu Hiyo Au mtu mwenye maarifa kidogo kuhusu Habari hizo shauku ya udadisi hunipanda kama Mori, na sio vinginevyo boss.
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kuchat nae utaamini tu fuatilia threads zote za infantry utaanza kuaminiBado siamini ujue
Jr[emoji769]
noma sana😀
inawezekana.... kama una tabia ya kuwasoma watu na machale... kuna mtu nilimuhisi na nikajua ni Intel kutokana na tabia zake mtu mwngne angeona kawaida but nilitia Shaka uongeaji wake, kupotea potea ghafla na kufosi uchangamfuOnly intelligence specialists can figure that out. Ila kwa mtanzania wa kawaida kama mimi, never ever
inawezekana.... kama una tabia ya kuwasoma watu na machale... kuna mtu nilimuhisi na nikajua ni Intel kutokana na tabia zake mtu mwngne angeona kawaida but nilitia Shaka uongeaji wake, kupotea potea ghafla na kufosi uchangamfuOnly intelligence specialists can figure that out. Ila kwa mtanzania wa kawaida kama mimi, never ever
Sure He Is!!You must be very intelligent
Kupitia mtandao; tena nilitumiwa na picha za tukio.
kwa kupenda sukubasi Nanaa jolie wewe lazima utakuwa mmoja waoUmenisema mie yaani na huu mdomo wangu siku izi nimeamua kuwa mpole...
nimeshaisaidia polisi bila kupenda mpk ikafikia hatua akiletwa afisa usalama mpya natambulishwa huyu atakusaidia sana
mi najua usubasi tu mengine nimewachia wenyewe