Camouflagers na informers

Hiyo ndio dawa yao, hawajui kudanganya, ila ndio hutamuona tena labda apende yeye.
 
Toka juzi nakupa taarifa kwamba juz nlvyoenda kwa trump white house ... Nlshtuka kukuta naye ni mwenzetu ... Akakuulizia nikampa ... Namba yako ... Alikutafuta ?!!
 
utawasikia.magufuli banaa.
Utawala wake mbovu kweli.
Kumbe wanangoja ufunguke wakuletee pira.
Mimi uwa nakaa kama sipo.mi mwenyewe FBI wa kujitegemea.
 
Toka juzi nakupa taarifa kwamba juz nlvyoenda kwa trump white house ... Nlshtuka kukuta naye ni mwenzetu ... Akakuulizia nikampa ... Namba yako ... Alikutafuta ?!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]alinitumia tasavali nipigie eti
 
Mfumo wa kiten
Jemedari Mshana Jr lakini wenye fani yao wanakwambia tukio lolote lazima ibaki clue au alama, sema ugunduzi na utambulikaji unategemea mambo mawili, weledi na ufanisi wa watekeleza tukio pia uzoefu wa wafuatiliaji.
Mfumo wa kitengo cha intelligence nchini marekani hupima IQ ya mtu na si ufauru wa sekondari.Kwahiyo hakuna atakayeajiriwa kitengoni pasipokuwa na IQ kubwa hata kama ana Phd.Pia mtu mwenye tabia ya Extrovert kamwe hafai kwa kazi hii.
 
Sawa lakini vitu vingine mtu ukijua sio kuviachia vikiwa vizima vizima bhana
acha umbea, unajua kwanini kaleta hapa?,hakuna jambo lijalo sehemu pasi na sababu,ukiona watu wasioeleweka wanafanya vitu visivyoeleweka jua wanatafuta kisichoeleweka. Hii nchi kipindi hiki imekaa kuwindana na kutishanatishana sasa utajuaje tunatishwa kiaina mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…