The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Mfumo wa kiten
Mfumo wa kitengo cha intelligence nchini marekani hupima IQ ya mtu na si ufauru wa sekondari.Kwahiyo hakuna atakayeajiriwa kitengoni pasipokuwa na IQ kubwa hata kama ana Phd.Pia mtu mwenye tabia ya Extrovert kamwe hafai kwa kazi hii.
Sijakuelewa ulichomaanisha ila nimefurahia post yako. Kumbuka sikuongelea mambo ya ufaulu kwenye maandiko yangu.
Unaweza kufafanua kidogo?