Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna patterns za ualimu ulizozigundua katika uandishi wangu ?Fikra zangu zilikuwa sahihi[emoji120][emoji120][emoji120]
Kuna rasta falan anajifanya mganga Mzee ni balaa Sana kana issue za intellenjensiaZina maslahi mazuri na mpunga mrefu.. Huyo usikute wala sio rasta
Hata mm nikiamua uyo namtwanda tu sielew kituSudan, Libya, misri, Algeria nk kote walikuwepo hao lkn kimbunga kilivyopita kiliwabeba wote hao, mwisho wa siku umma uheshimiwe
Mkuu mm nakuhofiaga Sana bro sema ID yangu wamepita nayo ile ya kuanzia na KNyie wote wale wale tu
Thanks kama umenisoma mkuuMimi nimekusoma.... In fact Simfahamu ndugu yangu
Mkuu kumbe na wewe muogaMimi nimekusoma.... In fact Simfahamu ndugu yangu
Sihusiki naoWale walee
[emoji23][emoji23][emoji23]usijali sio kesi
Mmh.... Unanifahamu vema.... [emoji144][emoji144][emoji144]
Big upHapana sina uoga bali nina nidhamu na tafakuri
Kwani nawe ni haohao avaeWale walee
Hii nyongeza Ni 4/4 ya uhalisia[emoji3526]Nilichoandika hapa ni 1/4 ya uhalisia wote... Hii ni mada ya kawaida sana...
Jr[emoji769]
Hao wote ni wala kijitiHawa wako chini ya kiwangoView attachment 1118198