Can East African countries reclaim Lake Victoria?

Can East African countries reclaim Lake Victoria?

Smatta if we go back to the issue of Nile River, Tanzania we have two major lakes (Tanganyika and Nyasa) four big rivers (Ruvu, Wami, Pangani and Ruvuma), all they do not have a historical treat like that of Nile! But if we asked ourselves, how dow utilized in terms of economic development? So why are we so keen fighting with Egypt?
 
Nina maoni pacha na Joka Kuu kuhusu EAC.

Nimekuwa nikisema hivyo, Smatta anasema ni uchochezi. Kenya ndiyo iko mstari wa mbele kuhakikisha Federation inatokea, nyuma yake wapo jirani zetu wenye matatizo yale yale, nasema sitaki kulazimishana kuungana. Tulishakataa! Niko tayari kwenda vitani kukataa Muungano huu. Tunaweza kusaidiana hivi hivi tulivyo, hata sasa hivi Kenya chakula wananunua Tanzania, inatosha, maana njaa kali kule. Au basi wale viwanda vyao. Kuhusu Maji ya mto Nile, hatuhitaji kuungana kudai haki za mto huo.

Maji watu watumie kwa raha zao, Misri wakija kwa ubaya tutawachapa pamoja. Misri hana uwezo wa kupiga nchi zote hizo, vita ya sasa hivi si hela tu. Kama taleban wanawatoa jasho Marekani na madege yao, itakuwa Misri. Kisha kila mtu akae kwake. Viongozi wanaowasaliti watanzania watakwenda na maji. Mpaka sasa TZ imejitolea mambo mengi sana kwa majirani zetu, but they keep demanding.

Tumechoka na ma-free riders, na bahati tuna nchi kubwa na wakarimu, sijui wangekimbilia wapi. Kila anayekimbia njaa au vita, break ya kwanza ni Tanzania, mpaka lini. Sasa hivi kuna climate change, we need be careful. Wakiambiwa kuungana kwenye IGAD, hawataki, kwa vile hailipi, maana kuna Somalia na Ethiopia na kote njaa kali.

Siwaombei mabaya jirani hawa, ila they are burden to us. Kuendelea si mpaka ardhi kubwa, wakae kwao wafanye innovations, they can irrigate their barren land with proper technology and resources in place instead of thinking flocking to Tanzania, which is weak! Wawe wabunifu, kisha sisi tupange mipango ya matumizi sahihi ya ardhi yetu kwa kujifanasi. It's about comparative advantage. Wengine hata ardhi wanayo, but they chose to grab. Kwani Uswiss na Ujapani wana ardhi kubwa? Lakini wako juu. Ni mipango tu.

Si wanasema wamesoma, maana ya kusoma ni kuwa mbunifu na kutatua matatizo ya nchi yako, kuliko kuhamishia matatizo yako kwa wengine.
 
Smatta if we go back to the issue of Nile River, Tanzania we have two major lakes (Tanganyika and Nyasa) four big rivers (Ruvu, Wami, Pangani and Ruvuma), all they do not have a historical treat like that of Nile! But if we asked ourselves, how dow utilized in terms of economic development? So why are we so keen fighting with Egypt?

Smatta nani aliye kutuma hatuna shida ya maji kama Tz, kama tungekuwa na shida ya maji ningeelewa lakini maji tunayo yakutosha na wala hat 20% of it we dont use it,hakuna maana ya kwenda kupoteza muda kwenye hili, tuelimishe watanzania kuhusu kilimo cha umwagiliaji kwanza.
 
Smatta nani aliye kutuma hatuna shida ya maji kama Tz, kama tungekuwa na shida ya maji ningeelewa lakini maji tunayo yakutosha na wala hat 20% of it we dont use it,hakuna maana ya kwenda kupoteza muda kwenye hili, tuelimishe watanzania kuhusu kilimo cha umwagiliaji kwanza

Jamani, Mada ni... Can East African countries reclaim Lake Victoria?
Na siyo kwa nini hatujaweza kutumia vizuri maji ya mito na maziwa yetu.
 
Back
Top Bottom