Hivi nimekukosea nini Lizzy, mbona huwa unakuwa mkali sana kwangu?
afadhali, moyo sasa umepoa...
sina mwenzangu wa kuleana...
*Happy face*
Na ukimpata mwenzio je? Uko/utakua tayari?
Nilikuwa tayari kula shaba kwa ajili ya aliyekuwepo, sina hakika kuhusu atakayekuwepo
Lizzy nakuona
mapenzi ya dhati