Hapana, genocide ni mauaji ya kuteketeza jamii fulani ya watu ili watoweke kwenye uso wa dunia, yaani unawachukia kiadi kwamba hutaki wawepo duniani, wanaowaua albino hawawachukii, ila wanawapenda kwa sababu wanaamini viungo vyao vitawapa utajili, kwa hiyo watapenda albino wawepo ili wao wajipatie utajili kwa kutumia viungo vyao.
Hence proved, this cant be genocide.