Mwana wa Mungu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2008
- 1,003
- 85
Wandugu, hivi mauaji ya albino Tanzania, yanaweza kuwa na sufficient ingredients za kosa la genocide ambalo limo kwenye sheria ya mkataba wa Roma (ICC statute) ili wat wanaooganise au kuua albino wapelekwe the Hague; since they are only targeting a specific group of persons (though no evidence kwamba leong lao ni kuwateketeza wasiwepo duniani bali ni kutaka viungo vyao). just curious tulikuwa tunabishana na watu hapa wengine wanasema hii ni genocide.