Can Men and Women Be Friends?


sawa nyama yao nimekuelewa,au labda mantiki yako sijaielewa vizuri,kwa hiyo unaitimisha kua hakuna urafiki bila msaada?
 
yeah mi nakusaidia na wewe inabidi unisadie tunaita fadhila kule kwetu Pemba lazima urudishe fadhila bana utaangalia mwenyewe kama ni mwanamke utaangalia mwanaume anataka nn.
haya ndo mambo nayokutana nayo kwa kila ninayejaribu jenga urafiki naye
 
...urafiki gani huo bila kutegemea kusaidiana kwa lolote? ndio maana pakawa na kamsemo;

"a friend in need is a friend indeed!"
 

Kifaru,

Soma hii extract hapa chini. Nina imani itakusaidia japo kiasi.

 

Du!..Umepinda mzee...?

Sasa vipi inakwendaje? uMESHAMLAMBA TOKA MKUBALIANE

KUTOZANA MAHELA?

Sa itakuwaje siku yeye ndo ana hamu? Atakulipa?
 
SMU
Thanx kwa maelezo yako,yamejitosheleza kwa kila kitu,thanx again
 
@$#!$##@%$#%$^%*&^(*&)(*)(*)_

Mambo mengine . . . hata hayaeleweki . . . Hebu inase hii . . .

Source: The Sex Buddy Gaining Popularity | NowPublic News Coverage




Wadau: Nini maoni yenu kuhusu hili bandiko?
 
mimi naona kama vile ni mawazo ya kipindi kile cha sodoma na gomora............sema mungu anatustahi tu kwani aliweka ahadi ya kutoangamiza ulimwengu....kama unabisha angalia juu ya mawingu utaona upinde.....huo unamkumbusha mungu juu ya ahadi yake.....sasa embu esabu ni mara ngapi umeona......ndo utafahamu kuwa dunia imeisha
 


Mkuu;

Kweli dunia inabadilika kwa haraka sana . . .

Kama mabadiliko ya ICT yanavyotokea kwa haraka, mabadiliko ya tabia za watu na jamii hali kadhalika.

Swali ni kuwa tutaishia wapi?
 
Mkuu;

Kweli dunia inabadilika kwa haraka sana . . .

Kama mabadiliko ya ICT yanavyotokea kwa haraka, mabadiliko ya tabia za watu na jamii hali kadhalika.

Swali ni kuwa tutaishia wapi?


Mambo ya G8 hayo . . . .
 

...na kweli, mambo yale yaliyohubiriwa miaka elfu kadhaa yamerudi kwa kasi na kwa uwazi,...

matendo ya ulawiti na usagaji, kubaka watoto wadogo, ngono na mke/mume wa mtu, yamekuwa mambo ya kawaida tu katika jamii...

next; ngono baina ya wanafamilia; kaka na dada yake, baba na bintiye, mama na mwanae, ...kuna wataobisha, lakini tayari yeshaanza kujitokeza haya.
 
mimi mbona naona poa tu,kwani tatizo ni nini haswa?
 
Ni kama vile kwenda kubeba malaya mtaani ukamlipa haina tofauti...
 
Ni kama vile kwenda kubeba malaya mtaani ukamlipa haina tofauti...

Swadakta, tena hapo kunakuwa na heshima pia malengo yenu wote ni sawa, maana kwa malaya mwenzako anakuwa anafikiria pesa wakati wewe unakula utamu.
 
Swadakta, tena hapo kunakuwa na heshima pia malengo yenu wote ni sawa, maana kwa malaya mwenzako anakuwa anafikiria pesa wakati wewe unakula utamu.

Nani kasema mwenzako hapati utamu, sema mnakulana utamu !
 

Neno la Mungu linasema katika siku za mwisho maasi yataongezeka. Hivyo ndugu yangu ni bora umrudie Mungu wako usije ukaangamie
 
Nani kasema mwenzako hapati utamu, sema mnakulana utamu !

hao watu huwa hawana kusikia utamu, wanachojali ni pesa akianza kujifanya anataka utamu ataweza kuhudumia wateja wangapi kwa siku?
 
mi naona hiyo poa kama hamsumbuani na kama mnaridhishana poa, kwani ktk mahusuano matatizo ni pale yanapoanza ooh hujanitumia hiki,nataka hela, ooh hujafanya hili etc, yote hayo km hayapo swadakta!!
 
mi naona hiyo poa kama hamsumbuani na kama mnaridhishana poa, kwani ktk mahusuano matatizo ni pale yanapoanza ooh hujanitumia hiki,nataka hela, ooh hujafanya hili etc, yote hayo km hayapo swadakta!!

Hapo umenena binamu, maana mahusiano ya kufuatana fuatana hayana raha tena yanpoteza muda tu, mimi nadhani kabla mtu hajaamua kuoa na kama hawezi kuacha kufanya matusi hii ni njia sahihi ya kuifuat.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…