Can Men and Women Be Friends?

Can Men and Women Be Friends?

...na kweli, mambo yale yaliyohubiriwa miaka elfu kadhaa yamerudi kwa kasi na kwa uwazi,...

matendo ya ulawiti na usagaji, kubaka watoto wadogo, ngono na mke/mume wa mtu, yamekuwa mambo ya kawaida tu katika jamii...

next; ngono baina ya wanafamilia; kaka na dada yake, baba na bintiye, mama na mwanae, ...kuna wataobisha, lakini tayari yeshaanza kujitokeza haya.


Mkuu, maneno mazito sana hayo. Kuna mifano michache tu ili kupata picha kamili?
 
Ni kama vile kwenda kubeba malaya mtaani ukamlipa haina tofauti...


Nadhani tofauti yake ni kuwa, Huyu "Rafiki wa Ngono" unakuwa unafahamiana naye na si lazima malipo. Ni kuridhishana tu. Ama?
 
Neno la Mungu linasema katika siku za mwisho maasi yataongezeka. Hivyo ndugu yangu ni bora umrudie Mungu wako usije ukaangamie


Mkuu, hivi maovu ya sasa na yale ya Sodoma na Gomora, yapi yamezidi?
 
mi naona hiyo poa kama hamsumbuani na kama mnaridhishana poa, kwani ktk mahusuano matatizo ni pale yanapoanza ooh hujanitumia hiki,nataka hela, ooh hujafanya hili etc, yote hayo km hayapo swadakta!!


Du, Mkuu . . . . kwa hiyo unaunga hoja?
 
Haya mambo ya FB na NSA ni very common siku hizi especially kwenye hizi nchi za magharibi, unajua tena watu hawataki stress za maswala ya kudate mnatafutana mkiwa na haja zenu tuu.
 
Haya mambo ya FB na NSA ni very common siku hizi especially kwenye hizi nchi za magharibi, unajua tena watu hawataki stress za maswala ya kudate mnatafutana mkiwa na haja zenu tuu.


Mkuu; I think:

FB=Fucking Buddy or Sex Buddy

Sasa hiyo NSA ni nini? Kuuliza si ujinga?
 
Maajabu yaenda yakiongezeka.
Binadamu polepole anaanza kufanana na mnyama!
Miaka ya nyuma ilikuwa ni taboo kwa watu ambao hawajaoana kujamiiana.Polepole ikawa kitu cha kawaida kwa wapenzi ambao hawajaoana kujuana lakini kwa siri.Halafu ikaja watu wawili wapenzi kuanza kuishi kama vile wameoana kwa maana kutimiziana haja za kimwili.Sasa hiyo imeonekana siyo ishu tena na watu sasa wanaanza kuchaguana kwa ajili tu ya kufurahia kile kitu Mungu alichoweka kama motisha wa watu kuendelea kuijaza dunia!
WHATS COMING UP NEXT????
 
friends with benefits........it happens alot haswa kwa wale hawataki strings zozote...kama vile mfano tuuuuu nyie wan JF nawajua sana mtaanza oooh ahhahha ilikuwa....me and lets take for example KKN ahahahhahahh.tunakuwa tunakutana tu once or twice a month ...when it suits me of course..do our thing,,,kwangu.... then asubuhi na mapema namwitia taxi...no phone calls, nagging sijui nini. kasheshe sasa when one of you starts developing feelings for the other..hizi rships zinakuwa very physical and its made clear at the beginning!!!! KKN...acha kuringa it is hypothetical...
 
Haya mambo ya FB na NSA ni very common siku hizi especially kwenye hizi nchi za magharibi, unajua tena watu hawataki stress za maswala ya kudate mnatafutana mkiwa na haja zenu tuu.


mmmmnh magharibi wapi...usende mbali hapa hapa nairobi wapo tele? haswa kwa hawa independent working class women who jst need a man for the benefit of ako kamguuuuuuuuu.....ah!!!
 
friends with benefits........it happens alot haswa kwa wale hawataki strings zozote...kama vile mfano tuuuuu nyie wan JF nawajua sana mtaanza oooh ahhahha ilikuwa....me and lets take for example KKN ahahahhahahh.tunakuwa tunakutana tu once or twice a month ...when it suits me of course..do our thing,,,kwangu.... then asubuhi na mapema namwitia taxi...no phone calls, nagging sijui nini. kasheshe sasa when one of you starts developing feelings for the other..hizi rships zinakuwa very physical and its made clear at the beginning!!!! KKN...acha kuringa it is hypothetical...


Wewe wewe wewe Shishi wewee....... i really thought you and me are gud funky buddies, kumbe siyo?!!!
 
Wewe wewe wewe Shishi wewee....... i really thought you and me are gud funky buddies, kumbe siyo?!!!


ahahahahha we tight buddies... btw just substitute KKN with yo name....ah umepotelea wapi wewe??
 
Mkuu, maneno mazito sana hayo. Kuna mifano michache tu ili kupata picha kamili?

...haya, ngoja nami niku copy na ku paste mifano miwili tu ya nguvu;
Austria's Fritzl denies murder, admits incest

ST POELTEN, Austria (Reuters) - An Austrian man who fathered seven children with a daughter he held in a cellar for 24 years pleaded guilty to incest on Monday but denied murdering their newborn son and enslaving her.
Wearing a mismatched grey suit, Josef Fritzl, 73, entered court in St Poelten, near Vienna, flanked by six policemen and concealing his face behind a blue loose-leaf binder.

Son impregnates widowed mother

Written by ZG/Sundaymail
Sunday, 22 April 2007

Farai is said to have admitted making his mother pregnant "to protect her" from relatives who were accusing her of promiscuity. A SMALL hut with a collapsed caved-in roof stands in the middle of Muputirwa village deep in the forests of Mwenezi.

Outside the deserted hut are four, thin, but vicious dogs whose barking is intimidating.

There is no sign of their master at the house that once belonged to 23-year-old Farai Mbereko, who left the whole village stunned when he made his 40-year-old-widowed mother Betty pregnant.

The "couple" has since left the village with Betty reportedly staying in Mozambique while Farai is said to be working in Chiredzi.
 
Tufuate ushauri wa Yo yo alioutoa jana, tujichunguze, tujiangalie, vinginevyo....
 
Back
Top Bottom