Can someone lend me 200k?

Kwa taarifa yenu kuweni makini kunastaili mpya ya kusaka watu wa JF wanaohitajika kujibu tuhuma za uchochezi ... so be ware guys kwa wale wenzangu tulio jificha nyuma ya ID fake usije kumlaimu mtu ...
Ha ha ha haaaa,, hilo lina ukweli mkuu hata mimi kuna jamaa alinizukia hapa JF eti anataka kuwasiliana na mimi kwa simu, nikamwambia kiongozi tumalizane hapa hapa JF kama hoja tunaenda PM tunamalizana, mambo ya kuongea kwa simu tunawaogopeni nyie Kaunda suti!! Sasa kama watu watakupuuza shauri yao tusilaumiane!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…