MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
..hizi timu zenu kweli ni tatizo!!
Chachu Ombara Tanzania ikipata sifa we utafaidika nini?
Bora niitwe kilaza kuliko kumpa kura huyo mtanzania anaekuja kunichamba ig akishapata ananiambia nikarambe ndimu kwanini asiombe kwa waganda na kisha changanya damu ? Nakubali kuitwa kilaza kama bendera ya tz ilipeperusha na filbert bay dunia nzima ilimuona
Bora niitwe kilaza kuliko kumpa kura huyo mtanzania anaekuja kunichamba ig akishapata ananiambia nikarambe ndimu kwanini asiombe kwa waganda na kisha changanya damu ? Nakubali kuitwa kilaza kama bendera ya tz ilipeperusha na filbert bay dunia nzima ilimuona
Huyo stevehand sijui mwenyewe kienglish kimempiga chenga.... this tanzanian are fools.... ndio nini sasa
Bora niitwe kilaza kuliko kumpa kura huyo mtanzania anaekuja kunichamba ig akishapata ananiambia nikarambe ndimu kwanini asiombe kwa waganda na kisha changanya damu ? Nakubali kuitwa kilaza kama bendera ya tz ilipeperusha na filbert bay dunia nzima ilimuona
IAmn voiting fore davido, he knwes my namber onei reimix with diamnd, he make us famoues in nigeria
Mkuu, hiki ni Kiyunani au macho yangu!!! Aiseee. Nimecheka mpaka basi. Mwee!!
Mpango mzma vote v money saut soo and davdoooooooooo
Mkurupukaji. Anapanik hadi meseji anaielewa visivyo. Watu wanapanik bure. Hizi ni kura tu . You all should take this easy...mimihapauk
Mbona ukisoma hiyo screenshort uliyoweka inasema ''WE KENYANS WILL...." maana yake huyo anayesema hapo ni mkenya sio mnigeria, au ulihadithiwa bila kuisoma?
Point.Bora niitwe kilaza kuliko kumpa kura huyo mtanzania anaekuja kunichamba ig akishapata ananiambia nikarambe ndimu kwanini asiombe kwa waganda na kisha changanya damu ? Nakubali kuitwa kilaza kama bendera ya tz ilipeperusha na filbert bay dunia nzima ilimuona
Am don't voting for david may be until he do colabo with Tanzania sweetheart that honorable of seengida
also I don't vote for chibu because he is sleeping with international woman and leaving us Tanzanians
Mtizameni mwingine huyu hajui hata anayempigia kura anaitwa nani bendera fata upepo SAUTI SOL...sio saut soo Dinazarde [MENTION=41109]data mzurimie Evelyn Salt