Can u predict the results, regardless atapigana na nani?

Can u predict the results, regardless atapigana na nani?

Ishakufa siku nyingi pitia hapo jioni utaona mpaka yale machuma yameuzwa kama scraperz ndio bongo hii. Kuna vioo tu vya kujiangalia unavyopiga chuma.
AWADHI TAMIMO ameibukia pale,na sasa maisha yake ni sweden!kufa ni sawa inaweza kuwa imekufa.maanake wanachama tulisambaratika sana.

ile ndo ilikuwa gym ya ki-ganstar.

mwaka wa pili chuoni niliwahi kupasha pale nikafumuka misuli ajabu.nilifika kama kilo 99.nikaona mwalimu ananishawishi niingie kwenye ring!nikaona dah!mwanzo wa kufeli
 
AWADHI TAMIMO ameibukia pale,na sasa maisha yake ni sweden!kufa ni sawa inaweza kuwa imekufa.maanake wanachama tulisambaratika sana.

ile ndo ilikuwa gym ya ki-ganstar.

mwaka wa pili chuoni niliwahi kupasha pale nikafumuka misuli ajabu.nilifika kama kilo 99.nikaona mwalimu ananishawishi niingie kwenye ring!nikaona dah!mwanzo wa kufeli

Da wewe ulikuwa unakula vizuri ungemshauri na huyu jamaa akala ajaze kama wewe. Rudi kaendeleze ile gym yako ya ki gangstarz paradise
 
Back
Top Bottom