Mkuu, i beg to differ mzee, heart ilovunjika haiponi, inasahau maumivu, ila ukiigusa tena inakumbuka maumivu ya kale na haipati maumivu mapya.very true dude... but its healing too... kama tungeacha broken heart i-run maisha yetu basi tungekua tunamalizia life mawodini mkuu
i call what remains as a scar... but allowing it to remain as a wound, you allow your life to be a miserable oneMkuu, i beg to differ mzee, heart ilovunjika haiponi, inasahau maumivu, ila ukiigusa tena inakumbuka maumivu ya kale na haipati maumivu mapya.
Mkuu, i beg to differ mzee, heart ilovunjika haiponi, inasahau maumivu, ila ukiigusa tena inakumbuka maumivu ya kale na haipati maumivu mapya.
Ukishakuwa SUGU wa kuvunjwa moyo sidhani kama unakuwa na feelings any more
usijali mpenzi hiyo kesi leo jiono tutaimaliza tu (i love you ukimaliza futa mamito rose na wale wambea wengine wasione lol) uzuri wewe ni ile rangi isiyo break them hatiz
Kibabu chako kinajua supagluu???
Habari yake FUNDI MOYO~Hapa nina supagluu ya kuungia vipisi vya moyo........am becoming a fundi moyo....
Unaelekea kwa ibada bi tabasamu?
Habari yake FUNDI MOYO~
Not now.....
Shauri yako...utabaki huko mbali peke yako.....
Yap yap luv....mimi ni fundi moyo (kwa rangi na matendo)....([COLOR="white"]yule nimempiga server ban ya wiki moja[/COLOR])
Mkuu, i beg to differ mzee, heart ilovunjika haiponi, inasahau maumivu, ila ukiigusa tena inakumbuka maumivu ya kale na haipati maumivu mapya.
Hujambo lakini??
Nilitaka nikuletee nakala ya misale......ushawahi kuvunjwa moyo?
Sijambo....
and no...sijawahi kuvunjwa and am not lookin forward to it!!
Wanavunjwa bila kutarajiwa.....anyway....you know where to find me....am a fundi moyo, just keep it!
Sijambo....
and no...sijawahi kuvunjwa and am not lookin forward to it!!
Thanx for the offer.......