Can You Break A Broken Heart?

Can You Break A Broken Heart?

Orait..... tryn to integrate the two kwa makini zaidi........
dx/(x2 +- a2)1/2 = ln [x + (x2 +- a2)1/2] + C

Mi naona ufanye differentiation:

The Quotient Rule:

Given a function y = a(x) / b(x):


dy/dx = ?????
 
Orait..... tryn to integrate the two kwa makini zaidi........

Hazichangamani.....fundi moyo na hatibreka......haziendani......chagua mjenzi au mvunjaji....thats all!
 
dx/(x2 +- a2)1/2 = ln [x + (x2 +- a2)1/2] + C

Mi naona ufanye differentiation:

The Quotient Rule:

Given a function y = a(x) / b(x):


dy/dx = ?????

Biggy taratibu haya makitu wengine tuna njaa kufanya differentiation hapo tutaumia
 
Mmmmm possible mkuu, manake ndo unakuta kuna jamaa amekuumiza hadi ukajuta kupenda, halafu unakutana na mwingine unadhani labda huyu ni afadhali, ndo anakutenda mpaka unajuta kuzaliwa. Mmmm eti WANAUME WOTE BABA YAO MMOJA. Huu msemo sijui ulitoka wapi.

ukisikia paa! Ujue.........
 
Unasahau kuhusu uwezo wa mafundi kufanya routine maintenance?
Sasa wewe unaweza kutengeneza huu? unaweza kuchonga huu ufunguo alioondoka nao Asprin?
 

Attachments

  • key_to_my_broken_heart-1506.jpg
    key_to_my_broken_heart-1506.jpg
    32.9 KB · Views: 39
Weupe nawapenda, lakini weusi ni dawa ya moyo........mama Bigirita....en'route to Dar.
 
Habari yake hii makitu bana!! Bia nazipenda lakini mbege ni kikata kiu murua zaidi!
 
Habari yake hii makitu bana!! Bia nazipenda lakini mbege ni kikata kiu murua zaidi!
kaaz kwel kwel.....!

NDOA YANGU NAIPENDA LAKINI MPANGO WA KANDO NI TULIZO PEKEE LA MTIMA WANGE

watu wanakaribishwa kuendeleza misemo ''fananishi''
 
Back
Top Bottom