Usilale bana, hapa niKumbe unajitoa tu ufahamu hapa na uhalisia waujua!!
Usiku mwema.
π π kwa ninihahhaah canberra u made my day and wallah
Hayo masaa hapo Marangu yameanza lini? Au hivyo vingereza vimekufanya ujione uko Ulaya?
Oohh isubiri inakujaUshahidi wa video fupi ukiwa chini unagalagala
Mtaani kwangu kwa MangiKwani pesa ndio inadinya au anadinya mwenye UTI Zake Mama, Hizo Serengeti unazinywea kijiwe gani Huko.
Kidhungu bila heraaa ni kerereeeeπ π kwa nini
Mtaa gani huo kwa Mangi.Mtaani kwangu kwa Mangi
Maswali Mengi bila hela yanaleta stressMtaa gani huo kwa Mangi.
Love doesn't really cares about all these nonsense stuffs.Maswali Mengi bila hela yanaleta stress
Kwani kuna ulazima gani kucopy ? Au ni tujue ngeli unapanda?Jael
Samani iko Hivi, It depends on the values ,and spirituality ,that dictate the intentions of the persons in luv Mama. To tell u a joke ,some ladies were talking about love at first sight ,many ladies told their stories ,and one lady said i fell in love at second sight ,first sight when i saw him coming towards me ,in the street ,with a big smile ,and the second sight when he crossed the road and entered his BMW.
Kimsingi There is no connection between luv and money . Issue ni kwamba Luv can motivate and charge up a person to work hard and make money to make his beloved happy ,secure and comfortable .
But money cannot buy luv ,because luv is hidden out of reach within the heart ,and has to be won not purchased .Love can only be given freely and never bought . Love is where the heart is ,and it is given only to that person who wins it and deserves it .Only that person who wins the trust,faith,and respect of the person ,and gives love freely ,gets love ,even without money.
This is a highly subjective ,individualized issue ,and it depends on each persons ,intentions ,values, attitudes ,ego ,and self esteem
I stand to be Corrected guys ππππ
I don't care about love either..Love doesn't really cares about all these nonsense stuffs.
Amin kwamba mzee huyu manzi kama anayosema ni kweliNimewaza sana mkuu mtoto down to earth kama huyu anastahili kupata hitaji la moyo wake. Inabidi tufanye kitu tumnusuru na mabaharia waharibifu au unasemaje?
ππ Mungu akupe hitaji la moyo wako AMEN ππΏMkuu hii sala yako huenda ikampeperusha huyo malkia kuja kwangu tuombe uzima.Binti1
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Mkuu mwambie huyo mtoto usivunge tu kaka, kuwa mkweli sema nae acha uoga mkuu π π π πAmin kwamba mzee huyu manzi kama anayosema ni kweli
ππ Mungu akupe hitaji la moyo wako AMEN ππΏ
Ukicopy uwe unatoa creditAmu..... if the love is to be kept more alive money is an inseparable ingredient that should be added to the mix. In the world today, money has become an important asset in any business transaction and romantic affairs are no excluded. However the survival of ur love life is entirely dependent on u and the choices u make with ur partner. With or without money, ur relationship can survive as long as the both of you want it to.
Hannah ππππUkicopy uwe unatoa credit
Ulikuwa wapi mama jamaniiiiiiiKwani kuna ulazima gani kucopy ? Au ni tujue ngeli unapanda?
Ila wewe noma unacopy hauachi kitu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kingereza chenyewe anakopi na kupaste. Kama kaandika yeye vile.Hivi we mtu Kiswahili si unakijua vizuri tu?
Hata uandike kijerumani ila inatakiwa utoe pesa bwana we. Acha kudumaa mwisho utaanza kujitafuta wakati its too late.