Niliwahi kuwa na mjapan akanambia kwamba, Jeff, I do expect gifts and treats from u time to time, but asking for cash is a line that I don’t cross. Maybe it is because I make my own money and I can take care of my bills. I know some women who are unemployed and have to rely on their boyfriends for everything, even the most basic of needs.Ni tabia inayowaudhi sana wanaume wengi tu na huweza hata kupunguza penzi.
Mkuu siku hizi maandishi ya mtu hayaleti definition kwamba huyo ni mtu wa aina gani.Aka kadada kanaakili mkuu nahisi katakua below 25, na uyo mwenzie binti wanaakili sana. Nikiwaza kulumbembe langu linavonipiga mizinga non stop naishiwa nguvu kabisa, I wish angekua kama hawa.
Niliwahi kuwa na mjapan akanambia kwamba, Jeff, I do expect gifts and treats from u time to time, but asking for cash is a line that I don’t cross. Maybe it is because I make my own money and I can take care of my bills. I know some women who are unemployed and have to rely on their boyfriends for everything, even the most basic of needs.
😁😁 ilo nalo neno mkuu unaweza kuta anapiga mizinga ya heavyweight. But they do exist mkuu japo kwa nadra sana.Mkuu siku hizi maandishi ya mtu hayaleti definition kwamba huyo ni mtu wa aina gani.
Imagine.Dating without asking for money?[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134] what a night mare!!!!
Hayo ndio mambo sasa, bila hivyo mahusiano yanakuwa yamepooza sana[emoji1787]Imagine.
Yereuwiiiiiiii mie ninapenda tena zile kubwa kubwa.
Mbavu zangu Mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Hayo ndio mambo sasa, bila hivyo mahusiano yanakuwa yamepooza sana[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Imagine.
Yereuwiiiiiiii mie ninapenda tena zile kubwa kubwa.
Awa wetu mkuu tunapoelekea wataanza kutuomba adi viungo vya mwili asee, mfano moyo,figo nkNiliwahi kuwa na mjapan akanambia kwamba, Jeff, I do expect gifts and treats from u time to time, but asking for cash is a line that I don’t cross. Maybe it is because I make my own money and I can take care of my bills. I know some women who are unemployed and have to rely on their boyfriends for everything, even the most basic of needs.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16] ilo nalo neno mkuu unaweza kuta anapiga mizinga ya heavyweight. But they do exist mkuu japo kwa nadra sana.
Zoë njoo uone hukuUmemaliza[emoji122][emoji122][emoji122]
Kuomba hela ni kama unanunuliwa hivi wakati hakuna pesa yoyote inayoweza kulingana na thamani yako.
Haipo kabisa.
Wakati nasoma chuo pia nilikuwa siombi hela.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Siku mtakapojua wewe huombwi na hupewi kuna sehemu wananuonyolowa mpaka wanatumia credit card mtalia sana.Umemaliza[emoji122][emoji122][emoji122]
Kuomba hela ni kama unanunuliwa hivi wakati hakuna pesa yoyote inayoweza kulingana na thamani yako.
Haipo kabisa.
Hebu acheni kuwaendekeza hawa viumbe, ndio maana wanakauwa viumbe vya ajabu ajabu. Hebu siku moja moja kama hajiongezi mstue na hitaji la hela ilochangamka nae achangamke ajue yeye ni nani.Mbavu zangu Mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Embu pumzisha mbavu zangu basi
No ukiwa na shida imekubana pua na mdomo muombe tu nadhani kama sio tabia yako atajisikia vizuri kusaidia na sio tabia mbaya.Binafsi yangu siwezi kuomba hela kwa mwanaume/mpenzi hata niwe na shida vipi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakati nasoma chuo pia nilikuwa siombi hela.
Life mtaani likanifundisha.
Ni suala la muda tu [emoji23][emoji23][emoji23] tutaungana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo unataka kuniambia ni swala la muda tu???
Ila Mimi sidhani kabisa
Hadi sasa nimepitia mengi..misukosuko mingi Sana lakini kuomba hela sijawahi.
Hata nikitoka hapa sidhani kama nitaweza aiseee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku mtakapojua wewe huombwi na hupewi kuna sehemu wananuonyolowa mpaka wanaanza credit card mtalia sana.
Haya ndio mambo sasa, mambo kama haya yanafanya mahusiano yanakuwa na uhai kila siku. Yale ya baby baby zile msg zinakuwa hazina tofauti na zile za waganga au PESA NI MPESAKama hizi za tarehe za tarehe 9.
Wakija kuchamba nisaidie dada [emoji28][emoji28]View attachment 1477395