Usishangae kama rais wako akiulizwa swali hilo hilo, naye akatoa jibu kama hilo hilo la kizembe! Sijui.....sina taarifa...!
Majibu wameshapeana yeye na SINCLAIR kitambo tu..Nyie hamjuwi hilo!
Ni kwamba kuwa kiongozi wa Tanzania ni kazi ngumu kwani inahitaji HURUMA!
Ili kweli kuweza kumsaidia Mtanzania ni lazima kumlazimishia kama vile watoto wanavyolazimishiwa dawa.
Na si kuwalazimishia utumwa eti kwasababu tu ni WAJINGA!
Watanzania wengi wao hawajasoma na ni kama watoto wadogo!
Viongozi wasiokuwa na huruma watakuja na maneno kama haya...
Mwinyi:Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu
Mkapa:Watanzania ni wavivu wa kufikiri.
Jakaya Kikwete yeye ndio akaja na MPYA KABISA...Kwani tatizo lake yeye ni kwasababu ya mambo ya technology kama mtandao huu na mengineyo.
Mawasiliano yanakwenda kwa kasi na watanzania wako in touch duniani kote.
Hivyo kuna wale wenye huruma na hawakubali wananchi wapelekwe Utumwani hata kama ni wajinga na hawana elimu...Tuko radhi kufa kwa ajili ya vizazi vijavyo.
Wale wachache wenye elimu wameona ukweli kuwa watanzania bado ni nyuma sana haswa kwenye kujuwa haki zao.
Na sasa kuna wenye elimu amabao wamejitolea kuwalinda wajinga ili vizazi vya baadaye vinufaike..Vizazi vya wale wajinga na wale wasomi wachache wazalendo na wenye huruma.
Watu unaweza kushangazwa kuwa dini na makabila yanawagawanya kiasi cha kwamba watu hawawezi tena kushirikiana kwenye ujenzi wa Taifa!
Ujinga huo unaochochewa na mkoloni kwa kuwatumia wale wasomi wachache walio ahidiwa pepo na ulinzi wa kila aina na Mkoloni unaelekea kufikia mwisho pale inapokuja kwenye madhara yake kwenye kizazi kijacho kwani kuna wale waliojitolea MUHANGA kwasababu tu ya kizazi kijacho na kamwe SI KWASABABU YA WANANCHI WAJINGA WANAOKUMBATIA TAARAB, MIPASHO, KHANGA, PILAO NA UNAFIKI WA MIGAWANYO YA KIDINI NA KIKABILA!
Wale ambao wako radhi kufa kuliko waambiwe chochote na mkristo,msilam ama mchagga vs kabila lolote lingine!
Na wenye mwisho ni...Mafisadi...Hii ni pamoja na vibaraka wao..
Wale waliomamuwa kuchaguwa kambi za mabwana na kupita pita huko kuomba kila siku itokayo kwa Mungu kama kina Mtikila na wakati wale wanao waomba kina Rostam ndio wanamiliki mali zetu na ni makaburu kwenye ARDHI YETU WANAYOIMILIKI!
Ndugu zangu wabunge...WENGINE TUNAJITAYARISHA KUVIPIGA VITA VINGINE VIPYA DHIDI YA MKOLONI KAMA IKIBIDI.
Na wale mamluki sisiti kusema NDIO TARGET YA KWANZA.