Kashishi yetu
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 3,509
- 3,741
Nipo tayari kuisaidia Israel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marekani anamuambua Israel hawezi mtupa wako naye sambamba hajui hi si ile vita vya Iraq alisaidiwa na mataifa 42 akadai yeye ndio kampiga Iraq.MAREKANI ANASEMAJE KWANI? ATAPELEKA SILAHA KWA ISRAEL?
Mashoga huwa maneno mengi si nenda kama wale wasomi wa kilimo.Nipo tayari kuisaidia Israel
una akili za kiomba omba snMAREKANI ANASEMAJE KWANI? ATAPELEKA SILAHA KWA ISRAEL?
hz kauli bado mnazo mlianza kusema Hamas ile si hii leo mnasena Hizbollah , hamuwajali waislam wenzenuKote kutaharibika, hizbullah siyo Hamas,na wamesema Vita vyao havitfata sheria, meaning piga raia,bomoa makazi Kama zayuni afanyacho gaza
Wangejificha nyuma ya raia 2006 Israel wangeweza vuka mto litani,lakini mwezi mzima hawakuvuka mto,wakaanza kuvunja madaraja kwa ndege Kama kawaida yao,Sasa Leo hizbullah ana drones,vunja daraja nivunje lakoHezbollah sio hamas ndio nini wote huwa wanajificha nyuma ya raia
Nipe Dili HiloMashoga huwa maneno mengi si nenda kama wale wasomi wa kilimo.
Dalili mbona bado upo bongo haujaenda Israel, tuonyeshe basi kama maneno yangu si ya kweli umevaa ngua za kijeshi za IsraelNipe Dili Hilo
2006 ndio nini wewe mapigano ya mpakani israel imewapukutisha viongozi wengi wa hezbollah na wanamgambo wa hezbollah 420 wameuawaWangejificha nyuma ya raia 2006 Israel wangeweza vuka mto litani,lakini mwezi mzima hawakuvuka mto,wakaanza kuvunja madaraja kwa ndege Kama kawaida yao,Sasa Leo hizbullah ana drones,vunja daraja nivunje lako
mzee akupe dili nani wakai mkuu wa mashoga benjamini kila siku anatangaza mapungufu ya wanajeshi!!!Nipe Dili Hilo
Kwa mujibu wa Israel2006 ndio nini wewe mapigano ya mpakani israel imewapukutisha viongozi wengi wa hezbollah na wanamgambo wa hezbollah 420 wameuawa
🤣Lazima tupeleke