Canada: Njia mpya za mazishi ambapo masalia ya mwili wa marehemu hufanywa kuwa mbolea

Canada: Njia mpya za mazishi ambapo masalia ya mwili wa marehemu hufanywa kuwa mbolea

Gama

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
13,265
Reaction score
4,735
Huko Canada, kuna ubunifu mpya ambapo mtu anaweza kuchagua aina ya mti au maua yatakayooteshwa juu ya masalia ya mwili wake baada ya kifo. Kampuni moja imebuni makasha maalum biodegradable ambayo huwekwa masalia ya mwili baada ya kuchomwa.

URNS; 100% BIODEGRADABLE.png

Pichani ni moja ya kasha la kuhifadhia majivu ya mwili wa binadamu
URNS PLANTING.jpg


 
Wengne humu tutawafanya sanitary towel (tampon) au toilet paper kutokana na maeneo waliyozoea kushinda wakiwa hai
 
I agree. Hii hoja ikifanikiwa hapa kwetu, hakuna tena watu kwenda kuabudu maiti na makaburi.
Kule china Wana choma na still Wana abudu majivu Yana hifadhiwq sehemu halafu wana family huwenda hapo na kuchoma udi na kuomba spirit, so hiyo njia mpya Bado haitoweza kuzuia Hilo lisiweze kuwepo
 
Huko Canada, kuna ubunifu mpya ambapo mtu anaweza kuchagua aina ya mti au maua yatakayooteshwa juu ya masalia ya mwili wake baada ya kifo. Kampuni moja imebuni makasha maalum biodegradable ambayo huwekwa masalia ya mwili baada ya kuchomwa.

View attachment 2284527
Pichani ni moja ya kasha la kuhifadhia majivu ya mwili wa binadamu View attachment 2284533

Na mimi nikifa nataka kuwa mvule
 
Huwa nawaza Kuna muda tutakosa mahali pa kuzika watu!?
Tayari tumeshafika muda huo. Mbona kwingi tu tunashuhudia hamisha hamisha ya makaburi? Hiyo ni dalali tosha. Kwa wenzetu ndiyo usiseme.

Kuchoma moto maiti ni mpango bomba sana.
 
Wataabudu hiyo miti.
Uzuri wa miti inakua na kukatwa. Tofauti na makaburi yanayopaliliwa miaka nenda rudi. Mti ukikatwa, mtu aliyekuwa akiabudu kaburi ataamini mizimu imetoweka pamoja na mti uliokatwa.

So, hawezi kuendelea kuabudu kwa sababu hapo atajua maombi yake hayawezi kusikiwa na miungu.
 
Wengne humu tutawafanya sanitary towel (tampon) au toilet paper kutokana na maeneo waliyozoea kushinda wakiwa hai
Huh? By the time tunazama full throttle kwenye muda huo, miti itakuwa na kazi moja tu ya kupunguza kidogo gharama za kununua Oksijeni kutoka kwa Mrusi.

Havitakuwepo tena vichaka kama unavyodhani. Njoo hapa 2090 usome hii comment, utanielewa.
 
Huh? By the time tunazama full throttle kwenye muda huo, miti itakuwa na kazi moja tu ya kupunguza kidogo gharama za kununua Oksijeni kutoka kwa Mrusi.

Havitakuwepo tena vichaka kama unavyodhani. Njoo hapa 2090 usome hii comment, utanielewa.
Time traveller? Nichekie bei ya Mercedes Benz solar powered ya mwaka 2198
 
Time traveller? Nichekie bei ya Mercedes Benz solar powered ya mwaka 2198
Long outdated technology by then. Magari yatakuwa kama usafiri wa Roman Empire wakati huo--farasi. Watu watakuwa wanavinjari to and from Mars, Moon, na sayari zingine kwa kutumia lightning-electromagnetized kind of rockets, zitakazokuwa stealth, advanced, and completely revolutionary and modernized.

Kutakuwa na mradi mkubwa wa colonization of the sun na jitihada za kuangalia uwezekano wa kuhamia galaxy nyingineyo.

Those years unazosisema, watu watakuwa wanamsoma Elon Musk na kushangaa kwa nini kizazi chetu hiki kilimwona kama kichaa vile na harakati zake za SpaceX.

#Yajayo Yanafurukuta! 🙂
 
Shda kuchomwa moto dah...
Wengi wanaoamini kwamba kuna kupewa ^kauli thabiti^ huko kaburini, sijui peponi, ndio wataoshida ya kuichoma moto maiti.

Plus wanaoabudu makaburi na mizimu ya wafu. Plus wanaoamini kwamba mtu akifa, basi roho yake inaenda peponi direct ama inaenda somewhere in between ili kutakaswa dhambi kabla ya kuruhusiwa kuingia peponi.
 
Back
Top Bottom