CANADA: Waziri Mkuu atalikiana na mkewe baada ya Miaka 18 ya ndoa

CANADA: Waziri Mkuu atalikiana na mkewe baada ya Miaka 18 ya ndoa

Kabisa lakini shida watu wanaficha Tabia zao kabla ya ndoa.
Pia Pana watu wanatabia ngumu kuishi nao utafanyaje.
Ipo kwa wote mfano mke/ mme ni
.Mgomvi,Hana hasira, mtukanaji mbele ya watu na watoto,mkali, vurugu hapendi amani upenda makelele,ugeuza nyumba kuwa jela akiwepo Sio paka mtoto mme mke dada wa kazi anakuwa na amani siku hio,mkaidi nk.
Maana ni hatari kwa usalama wa afya yako na itakupelekea kupata magonjwa yatokanayo na stress.
Huyu umefunga nae ndoa mtu Kama huyu anaetishia usalama wa afya yako ya akili unaweza vipi ishi nae.
Ni kwel kuacha Sio jambo jema lakini kwa tabia hizi unavumiliaje.
Maana ndoa ni vitu vitatu utii, heshima na upendo.
Na hivi vitu vitatu haviwezi kaa kwenye Tabia mbovu sababu ya malezi mabovu.
Ndoa zao zinawafanya wanaume kuwa watumwa. Suluhu pekee huwa ni divorce ingawa nayo kama mwanaume hakujipanga huweza kufikia kukuacha homeless or lonely and frustrated.
Upande mwingine tatizo la ndoa hata kwa Tanzania na Afrika ndoa zipo tu zimejiegesha kama nyumba za miti ambayo ndani imeshaliwa na mchwa.
 
Ndoa ya Waziri Mkuu wa Canada imefikia ukomo baada ya Miaka 18 toka ilipofingwa mwaka 2005.
---

Justin Trudeau and his wife Sophie Gregoire-Trudeau have announced they are separating after 18 years of marriage.

The Canadian prime minister, 51, said in an Instagram post that the decision was made after "many meaningful and difficult conversations".

Mr Trudeau and the 48-year-old former model and TV host married in late May 2005 and have three children - Xavier, 15, Ella-Grace, 14, and nine-year-old Hadrien.

He said in a statement: "Sophie and I would like to share the fact that after many meaningful and difficult conversations, we have made the decision to separate.

"As always, we remain a close family with deep love and respect for each other and for everything we have built and continue to build."
Duh! .. hatari kweli kweli
 
Ndoa ni tamu Mwanzoni nichungu katikati hapa watoto wamekuja ni raha baada ya watoto kukua nichungu tena wakati wa uzee pale watoto wanapomwangalia mama tu na wewe mwanaume unakuwa mkiwa
 
Kweli ndoa changamoto, ukisema uvumilie watakukuta siku moja umejitundika na kujinyonga au umejirusha ghorofani.


Ni kazi sana kuishi na mtu mmekutana Ukubwani tena kutoka kwenye background tofauti.

Ni neema ya Mungu pekee inahitajika 🙏
 
Uzuri hawa wenzetu wakitengana wanakuwa wamekubaliana wote wawili kuwa sasa mapenzi yameisha ni muda wa kupeana nafasi
 
Back
Top Bottom